Recent content by nteze

  1. N

    Kazi ya usimamizi wa Uchaguzi Kinondoni

    posho wanalipaje?
  2. N

    Nafasi za Usimamizi Wa Uchaguzi, Ilemela

    Naulizia Kama Kuna Mtu Anataarifa Yoyote Juu Ya Kutoka Kwa Majina Hayo Au Anaejua Ni Lini Yanatoka,pia Posho Watatoa Sh Ngap!
  3. N

    Siasa za Kisasa au Kupoteza Dira kwa Vyama vya Siasa Tanzania? CCM, CUF na CHADEMA!

    CCM ni chama kilichojiimarisha vizuri kwa sera zake nzuri na mara zote kimekuwa kinajiweka karibu na wananchi kwa lengo la kupata ushirikiano wao,matumizi ya rasirimali za nchi zikiwemo watu,mali asili,ardhi na fedha za walipa kodi zimeisaidia CCM kuendelea kuonekana kama chama kinachopendwa...
  4. N

    Tundu A. M. Lissu hapuuziki

    naomba unijuze ni maneno gani hayo ya kashifa???
  5. N

    Live updates mkutano wa ukawa pemba

    walishasema ikiwemo kutokuheshimiwa kwa maonia ya wananch
  6. N

    Kwanini UKAWA wanaonekana kuwa ni muhimu Bunge Maalum la Katiba sasa?

    ts true wote wamekosea lakini kumbuka CCM bado wanaendelea kuwalushia vijembe UKAWA na WARIOBA so ni muendelezo uleule wa makosa ambao UKAWA nao wameendelea wameendelea kuufanya kwa kukaa nje ya bunge....kitu cha msingi ninachokiona CCM waendelee na utunzi wa katiba kwa vile wote wanamtazamo...
  7. N

    Kwa tafsiri ya Nyerere UKAWA NI WAHAINI...

    huwez kumlinganisha Nyerere na Lincoln....utakuwa unamkosea heshima Lincoln.......
  8. N

    Kutoa damu kwa hiari....

    Kabla ya kuchangia damu,mbali na wingi wa damu kuna magonjwa gani mengine wanaangalia?Ni magonjwa gani ukiwa nayo damu yako haichukuliwi?
Back
Top Bottom