naomba nichangie mm nionavyo,ujue dunia ya sasa watu wana changamoto sana,wakuta mwingine ni hiv positive na tanzania bado sana kunyosheana vidole,mtaani akianza jieleza inakuwa ahida lkn kwa mtandao mtu ni rahisi kujieleza maana hutojua hata alipo,lkn kwa mtu mzima huyo mtihani labda anakuwa...
kuna mtu alinambia ktk maisha mtu usithubutu kuingia kwenye ndoa na mtu usiyempenda,hivi inakuwaje iwapo umtakaye haji ila unapata tu usiowapenda na muda waenda,je kuna tatizo wandugu?naombeni mawazo yenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.