Recent content by ntende

  1. N

    mmmm!

    kweli ndugu
  2. N

    mmmm!

    acha tumshukuru Mungu kwa wema wake
  3. N

    Wachumba tuambiane magonjwa yetu yote kabla ya kuoana sio UKIMWI tu

    ukweli ni mzuri,ila mm naona bora hata mwanamke atakubali matokeo lkn mwanaume umempa tiketi ya kukukimbia
  4. N

    Nisaidieni wadau

    ni kitu halisia lkn,na wengi chawakumba sana ndugu yangu
  5. N

    Nisaidieni wadau

    Mungu atusaidie kwakweli maana hatari
  6. N

    Nisaidieni wadau

    mtihani hapo
  7. N

    Nisaidieni wadau

    kazi ipo,nini kifanyike kukomesha vitu hivyo
  8. N

    Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu

    naomba nichangie mm nionavyo,ujue dunia ya sasa watu wana changamoto sana,wakuta mwingine ni hiv positive na tanzania bado sana kunyosheana vidole,mtaani akianza jieleza inakuwa ahida lkn kwa mtandao mtu ni rahisi kujieleza maana hutojua hata alipo,lkn kwa mtu mzima huyo mtihani labda anakuwa...
  9. N

    Nisaidieni wadau

    kuna mtu alinambia ktk maisha mtu usithubutu kuingia kwenye ndoa na mtu usiyempenda,hivi inakuwaje iwapo umtakaye haji ila unapata tu usiowapenda na muda waenda,je kuna tatizo wandugu?naombeni mawazo yenu
  10. N

    mmmm

    maisha kila siku nafuu jana
  11. N

    Nimeibiwa mke wangu nateseka mie

    pole kaka,jaribu kumfata mshenga uingee naye
  12. N

    Nimeibiwa mke wangu nateseka mie

    pole kaka jaribu kumfata mshenga wenu
Back
Top Bottom