Recent content by Ntate Mogolo

  1. Ntate Mogolo

    Watanzania tunanyanyasika sana na watawala: Umeme ni mfano halisi

    Kalemani nitumie namba yako, nikurushie wekundu wawili!
  2. Ntate Mogolo

    Basi Kampuni ya Abood lapata ajali, hakuna madhara yoyote kwa abiria

    Ajali kama hizi zitakoma kama tuwekeza kujenga Barbara kama hii.
  3. Ntate Mogolo

    Spika Tulia unamharibia Rais Samia nchi, mambo mabaya yameharibikia mikononi mwako

    Wahenga walinena kitambo, "kikulacho kinguoni mwako.." Spika wa Binge amechangia kuchafua Kwa maamuzi yake ya kiti. Muda utahukumu!
  4. Ntate Mogolo

    Rais Samia muondoe ofisini haraka huyu jamaa wa EWURA

    JWTZ na TISS Wetu hawahusiki na mambo ya uchumi.
  5. Ntate Mogolo

    Kilimanjaro: Polisi yamsaka Mwalimu kwa tuhuma za kumuua Mwanafunzi wa Darasa la Kwanza

    Hawawezi kukuelewa. Waalimu wana akili kama ya kuku. Hili limesemwa sana humu JF, lakini wanarudia kuchapa mitoto ya watu.
  6. Ntate Mogolo

    Kaa ukijua hamu ya kujamiiana kwa mwanamke ni mara tatu zaidi ya mwanaume

    Lengo la ukeketaji, ilikuwa kukabiliana na hiyo changamoto.
  7. Ntate Mogolo

    Nimesikitika kwa kuondolewa kwenye nafasi zao Profesa Abel Makubi, Tickson Nzunda na Omary Mgumba

    Ina maana jamaa no MGUMBA!? Mpelekeni kwa Mwamposa akapate upako.
  8. Ntate Mogolo

    CCM wamkataa Diwani wa ‘kuchaguliwa’ na Hayati Magufuli

    2025 wajumbe wanalao jambo!
  9. Ntate Mogolo

    Ni Mkatoliki 100% ila hizi ni sababu zangu za kwanini Sihudhurii na Sitohudhuria Jumuiya za kila Jumamosi....

    Hawawezi kuchukua hatua yeyote, maana wananufaika na mfumo unaopigiwa kelele.
  10. Ntate Mogolo

    Unapataje Afya ya Akili ili hali unadaiwa namna hii?

    Kanisani nimewapiga mkas kitambo! Sasa wamebaki kunitishia kuwa hawatakuja kunizika nikifa. Sawa tu.
  11. Ntate Mogolo

    Shehe Ponda: Pawepo Mjadala wa kitaifa kuhusu Uzalilishaji wa Watoto unaofanywa " hata" na Viongozi wa dini

    Shehe Ponda uko sahihi kwa hili! Viongozi wengi wa dini wamedunga mimba waumini wao na kisha kutelekeza watoto hao.
  12. Ntate Mogolo

    Waziri Abdallah Ulega: Madai ya Samaki kuhifadhiwa kwa maji ya maiti ni hisia tu

    Uhalifu huu unafanyika pia kwenye maduka ya nyama! Ukiona nyama inzi hawaisogelei jua ilishatiwa dawa ya kuhifadhia maiti.
Back
Top Bottom