Recent content by ntamaholo

  1. ntamaholo

    Mahakama yasema Kanisa la Ufufuo na Uzima Tanzania ( The Glory of Christ Tanzania Church) Halijafungwa Wala Kufutwa, hivo Rufaa imetupiliwa mbali

    Nadhani ni shida ya lugha za kisheria. Kama halijazuiwa, kwa nini jumapili ya tarehe 08.06.2025 hawakupata nafasi ya kusali ili hali wana hukumu kuwa kanisa halijazuiwa? Hapo ni lugha ya kisheria tu hakuna namna nyingine. Lugha hii itafakari namna hii... "the preliminary objection is...
  2. ntamaholo

    PreGE2025 Heche: Wale G55 wanaenda Chama kingine ili ionekane Chadema imekufa, sisi hatununuliki

    Umaskini ni nini? Hii ni shule pana na kunaweza kusiwe na majibu ya jumla. World Bank na IMF wanapima umaskini kwa kuzingatia dollar za marekani. Mfano iwapo unaishi chini ya dola moja kwa saa 24, basi wewe ni maskini. dollar moja ni sawa na 2,680/-. Kama unaishi chini ya 2,680 basi wewe ni...
  3. ntamaholo

    PreGE2025 Nimeumia sana chama kuvunjika na kuparaganyika siku 70+ za uongozi mpya!

    Kuponya majeraha ndiyo kitu gani? Wanatafuta teuzi? Wanatafta nini? Uchaguzi ukiisha, mnavunja kambi zenu mnakuwa na agenda za walioshinda ndizo zinaongoza chama. Wao wanataka waendelee na Mbowe. Inawezekana vipi?
  4. ntamaholo

    Kama viongozi waandamizi wa Chadema wamebaini kuwa Lissu na Henche hawafai kuwa viongozi wa Chama, wewe unasubiri nini?

    Hao wana hasira maslahi yao kuvurugwa. CHADEMA iko mikono salama, hawana bei
  5. ntamaholo

    PreGE2025 Nimeumia sana chama kuvunjika na kuparaganyika siku 70+ za uongozi mpya!

    Yeriko Nyerere Kupitia uchaguzi huu wa ndani ya chama, tumewatambua kabisa watu waliokwamisha upinzani kutwaa dola kwa miaka 30 tangu mfumo wa vyama vingi uanze. Lakini hii pia ndiyo inadhihirisha namna CCM ilivyojiandaa kuhakikisha hakuna mtu wa kuwatoa madarakani. Kifupi tumekuwa na wanasiasa...
  6. ntamaholo

    Natamani kusikia dini zinatutangazia kujitenga na mchakato wa uchaguzi 2025

    Siasa ni unafiki na mnafiki haogopi kufika popote. Namna pekee ya kuwaambia unafiki wao umevuka miapka, ni pamoja na kukataza waumini kushiriki. Hapo watakosa uhalali
  7. ntamaholo

    Mbona timu za Zanzibar hazipigwi goli nyingi na Yanga kama za huku bara?

    1. Kwanza zimefungwa 2. Timu tatu za bara zimefungwa na timu za Zanzibar 3. Sababu kubwa ni vikosi vilivyosafiri na vinavyo chezeshwa. Timu za bara zinaenda kule kupumzika siyo kushindana. Wachezaji tegemezi hawachezi na hawasafiri na timu 4. Wachezaji kudharau timu za zenji, hivyo kutoweka...
  8. ntamaholo

    Natamani kusikia dini zinatutangazia kujitenga na mchakato wa uchaguzi 2025

    Kwa hali ya siasa na kiwango cha matukio ya uvunjwaji wa haki za kibinadamu nchini, natamani kusikia viongozi wa dini zote wakitoka na azimio la pamoja kuelekeza waumini na wafuasi wao kujitenga na michakato ya uchaguzi. Iwaachie wanasiasa wanao ishi kinafiki mchakato wao waendelee na mchakato...
  9. ntamaholo

    Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

    Andiko lako feki feki feki feki. 1. Siyo biblia yote inaitwa Injili, Injili ni ujumbe wa Yesu. Ni vitabu vya agano jipya. 2. Vitabu vya mwanzo, torati na manabii, vilitabiri ujio wa Yesu siyo mpenda mademu 3. Yesu aliposema ataleta msaidizi, hakukusudia Mzee Mudi, alimaanisha Roho mtakatifu...
  10. ntamaholo

    Suala la kumiliki klabu ya mpira zaidi ya moja

    Mpira umewashinda, wanatafta unafuu kwa timu zinaxowapa upinzani
  11. ntamaholo

    Suala la kumiliki klabu ya mpira zaidi ya moja

    Gsm haendeshi Yanga. Ni main club sponsor. Yanga inaoongozwa na secretariat ya Yanga ikiongozwa na rais na ceo Mtine
Back
Top Bottom