Nadhani ni shida ya lugha za kisheria. Kama halijazuiwa, kwa nini jumapili ya tarehe 08.06.2025 hawakupata nafasi ya kusali ili hali wana hukumu kuwa kanisa halijazuiwa? Hapo ni lugha ya kisheria tu hakuna namna nyingine.
Lugha hii itafakari namna hii...
"the preliminary objection is...
Umaskini ni nini? Hii ni shule pana na kunaweza kusiwe na majibu ya jumla.
World Bank na IMF wanapima umaskini kwa kuzingatia dollar za marekani. Mfano iwapo unaishi chini ya dola moja kwa saa 24, basi wewe ni maskini. dollar moja ni sawa na 2,680/-. Kama unaishi chini ya 2,680 basi wewe ni...
Kuponya majeraha ndiyo kitu gani? Wanatafuta teuzi? Wanatafta nini? Uchaguzi ukiisha, mnavunja kambi zenu mnakuwa na agenda za walioshinda ndizo zinaongoza chama. Wao wanataka waendelee na Mbowe. Inawezekana vipi?
Yeriko Nyerere
Kupitia uchaguzi huu wa ndani ya chama, tumewatambua kabisa watu waliokwamisha upinzani kutwaa dola kwa miaka 30 tangu mfumo wa vyama vingi uanze. Lakini hii pia ndiyo inadhihirisha namna CCM ilivyojiandaa kuhakikisha hakuna mtu wa kuwatoa madarakani. Kifupi tumekuwa na wanasiasa...
Siasa ni unafiki na mnafiki haogopi kufika popote. Namna pekee ya kuwaambia unafiki wao umevuka miapka, ni pamoja na kukataza waumini kushiriki. Hapo watakosa uhalali
1. Kwanza zimefungwa
2. Timu tatu za bara zimefungwa na timu za Zanzibar
3. Sababu kubwa ni vikosi vilivyosafiri na vinavyo chezeshwa. Timu za bara zinaenda kule kupumzika siyo kushindana. Wachezaji tegemezi hawachezi na hawasafiri na timu
4. Wachezaji kudharau timu za zenji, hivyo kutoweka...
Kwa hali ya siasa na kiwango cha matukio ya uvunjwaji wa haki za kibinadamu nchini, natamani kusikia viongozi wa dini zote wakitoka na azimio la pamoja kuelekeza waumini na wafuasi wao kujitenga na michakato ya uchaguzi. Iwaachie wanasiasa wanao ishi kinafiki mchakato wao waendelee na mchakato...
Andiko lako feki feki feki feki.
1. Siyo biblia yote inaitwa Injili, Injili ni ujumbe wa Yesu. Ni vitabu vya agano jipya.
2. Vitabu vya mwanzo, torati na manabii, vilitabiri ujio wa Yesu siyo mpenda mademu
3. Yesu aliposema ataleta msaidizi, hakukusudia Mzee Mudi, alimaanisha Roho mtakatifu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.