habari za majukumu wana JF
ninasumbuliwa na kipanda uso mpaka nashindwa kufanya kazi. Tafadhali kama kuna yeyote mwenye kujua chanzo na tiba yake au tiba tu naomba anisaidie, plz.
Asante
Ndugu wana JF habari za leo.
Mwenzenu nina tatizo la kiafya sipati haja kubwa kabisa. Ninachukua hadi siku 5 ndo napata hali ya kwenda haja kubwa lakini nikienda hata sipati haja nzuri sometimes natoa tu hewa na kama mapovu hivi.
Naomba ushauri wenu wapendwa; ni tatizo gani? Maybe naweza...
Habari wana JF,
Nina matatizo mawili 1) ninawahi sana kufika kilele ninapokuwa katika tendo la ndoa, naomba ushauri wenu nifanyaje ili niweze dumu hata japo kwa nusu saa. 2) ninachelewa kupata nguvu za kurudia game baada ya bao la kwanza.
naomba ushauri wenu pia katika hili
Asanteni wana JF
Habari zenu wana JF,
Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 26. Nina shahada ya uchumi na fedha.
Ninawaomba wana JF mnisaidie nafasi ya kazi (kujitolea) katika NGO yoyote mkoani Morogoro. Asante.
Mawasiliano:
0684 148465
wadau hizo update za mafunzo ya ujasiriamali from NEEC tutapata vipi bse wanasema ili uweze kupata mkopo lazima upate hayo mafunzo.
plz mwenye kujua zaidi anisaidie.
Habari zenu wana JF, natafuta sehemu ya kufanya kazi as a volunteer. Mimi ni kijana wa kiume 26 years nimemaliza chuo mwaka huu, fani bachelor of science in economics and finance.
Nichek kwy namba 0754 25 44 79.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.