Samahani mkuu,unaweza kujiongeza kidogo tu mwenyewe kua Chama kina vuongozi nchi nzima,kanda,mikoa,wilaya,makao makuu,pia chama kinanunua vyombo vya usafiri kama Pikipiki,Magari na kinawalipa mishahara,posho na mawasiliano viongozi wake nchi nzima kama nilivyoorodhesha hapo juu,achilia mbali...