Hahahaaaa mbaya sasa mahakama imezuia ruzuku ya cuf mpaka shauri lililoko mahakamani lisikilizwe kwanza na target yao ilikuwa ni kuchota hela sasa imebuma!!!
Akiondolewa kwenye cheo chake ataajiliwa mwingine mwenye qualification elewa elewa bita iliyopo no us watumishi hewa no watumishi hewa ni hao wanaogushi/wanaotumia vyeti visivyo vyao.Kwa hiyo wanatakiwa wafanyakazi wenye vigezo.
Ivi inawezekanaje kufifisha tuhuma wakati kuna tume unwinds us kushughulikia madawa kulevya na wakati wana access ya kumkagua yoyote wanaemhisi kwani kawazuia wasiingie ndani mwake? ninataka vyeti si ishu nikuthibitisha tu kuwa anavyo ivi wewe haukuumia pindi watu wanafukuzwa kazi Kwa...
Bashite atumbuliwe maana Mhe... anataka kila mmoja apate kilicho halali kwa maana hiyo bashite anapokea kisicho chake anatakiwa apate kulingana na elimu yake na si kubana nafasi Za watu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.