Habari wana forumn, mimi ni kati ya watu wengi waishio kigamboni wka sasa. Kinachonishangaza ni hali ya umeme kutokuwepo hasa wakati wa wikiendi. Utakuta jumamosi asubuhi umeme unakatika na hakuna hata taarifa ya nini kinaendelea. Siku nyingi za wiki umeme upo siku nzima ila ikifika wikiendi...
Sijui kama ulielewa kilichosababisha wakubali. Sababu ya msingi ya kupeleka hizi hoja na kuziita mapendekezo ni ili bunge liwe na pa kuanzia na sio bunge liendeshwe na hayo. Think before you write....
Jambo kama hili kuwahusisha viongozi wa dini ni jambo la kuskitisha sana. Ila kama ambavyo msemo maarufu husema....only God can judge.....mi nafikiri tusiwe wepesi wa kuharakia kushutumu watu mpaka tunaowaheshimu na kuwaita wezi...ila pia ikumbukwe kuna mengi ambayo Kilaini na Rugemalila wanajua...
Natafakari ujasiri wa huyu kijana, najaribu kufikiri kweli kama mtazamo wake juu ya Lowassa na CCM ni sahihi. Bila shaka ni kama wengi wanavyoona, amejazwa tu upepo, siasa ina mengi ila huu ujasiri wa kwenda kusema hadharani majina ya watu bila ushahidi wowote ni ujinga....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.