dah pole kwa misukosuko ya maisha na nimeona ulivoshauriwa sio mbaya ila kua makini ktk kumbana mkeo na jitahidi kuthibitisha na sio kwa maneno ya kusikia tu xo kuwa makini uenda hata huyo muuza duka anamtamani mkeo huwezi jua we tulia chunguza taratibu na kisha fikiri kabla ya kutenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.