Kuna tofauti Kati ya mwalimu na muhadhiri, mkufunzi? Nadhani tofauti itakuja kuwepo mbeleni siku tukianza kupanga wanaotakiwa kusomea ualimu Ni wale tu waliofaulu kwa viwango vilivyotukuka. Kwa Sasa Ni Kama ualimu Ni kichaka Cha.......japo sio wote.
Wengine ni wezxi na wengine wanakop[a na wengine ni wafanya biashara, wengine wamejiajiri na hawategemei hii mishahara ya kinyonyaji...... wewe ukilipwa na slave master wako 1M yeye kwa wiki anaingiza 7M kwa vibiashara vyake vidogodogo...... KUJIAJIRI!!!:fish2:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.