Recent content by Nsennah

  1. Nsennah

    Mtaji wa milioni moja, naomba wazo la biashara

    Futa 10% ya zaka usubiri siku ukiamua ukawatembelee mayatima ktk vituo vyao
  2. Nsennah

    Ukifanya biashara hizi na kuweka nguvu haswa uhakika wa kufanikiwa ni 100%

    Unalima mahindi heka unahudumia kwa laki 5, kwenda kuvuna gunia ni elfu 30.
  3. Nsennah

    Heri ununue nyavu kuliko bodaboda

    Hv Hivi unajua wizi wa nyavu ulivyoshamiri?? Kuna mtu aliniambia ziwa viktoria maeneo ya Ukerewe ukinunua nyavu ukakaa nayo wiki 2 basi mshukuru sana Mungu. Sipingani na hoja zako but angalia na negative pia za nyavu kuliko ulivyolalia negative za boda
  4. Nsennah

    Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

    Hana tofauti na mchawi.
  5. Nsennah

    Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

    Kufa mapema ndo ninachotaka kukijua. Ninyi mlitaka wahangaike wapi?
  6. Nsennah

    Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

    Walichowahi kukufanyia walimu kitakuathiri miaka yako yote.
  7. Nsennah

    Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

    Hata qiyama ni neno la kufikirika tu. Majibu siku ya qiyama wapi tushachotwa kisaikolojia!! Ni kama tulivyochotwa binadamu wa kwanza alikuwa km nyani
  8. Nsennah

    Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

    Uongo tu. Qur'an imeandikwa na watu 12 waliokuwa wamehifadhi maana mudi hakuteremshiwa kitu bali maneno yake tu. Na kulikuwa na vita ambapo watu 70 waliokuwa wamehifadhi kquran walikufa vitani. Ndipo Abubakhar akawakusanya waliosalia 12 waandike walichohifadhi na kuunda msahafu.
  9. Nsennah

    Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

    Oyaaa!! Qur'an alishushiwa Mudi, Yesu hakukabidhiwa kitabu (kama waislamu waaminishwavyo na quran yao). Kitabu kiliandikwa na wafuasi wa Yesu walioshuhudia ukuu wake.
Back
Top Bottom