Hv
Hivi unajua wizi wa nyavu ulivyoshamiri?? Kuna mtu aliniambia ziwa viktoria maeneo ya Ukerewe ukinunua nyavu ukakaa nayo wiki 2 basi mshukuru sana Mungu. Sipingani na hoja zako but angalia na negative pia za nyavu kuliko ulivyolalia negative za boda
Uongo tu. Qur'an imeandikwa na watu 12 waliokuwa wamehifadhi maana mudi hakuteremshiwa kitu bali maneno yake tu. Na kulikuwa na vita ambapo watu 70 waliokuwa wamehifadhi kquran walikufa vitani. Ndipo Abubakhar akawakusanya waliosalia 12 waandike walichohifadhi na kuunda msahafu.
Oyaaa!! Qur'an alishushiwa Mudi, Yesu hakukabidhiwa kitabu (kama waislamu waaminishwavyo na quran yao). Kitabu kiliandikwa na wafuasi wa Yesu walioshuhudia ukuu wake.
Mi kuingia kwenye imani yenu labda ingekuwa kusaka totoz siyo kuamini ya kuwa ni imani ya M/Mungu. Kwenye kumponda jiwe shetani ningeshiriki japo sijui huwa amehifadhiwa humo au la.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.