Moja kati ya kazi zenye kuzeesha na kudhoofisha mwili ni hizo kazi, wale wengi wao huwa ni wageni wa mji, wakishaujua mji huwa wanajiunga na wasajili line za simu
Semeni kooote ila hapa kwa waokota makopo hapo asilimia 99 ni wezi. Kilo moja ya makopo ni sh 400 kama haijapanda, niambie kwa siku anakusanya kilo ngapi auze sh ngapi
Nb; kuna baadhi ya hawa omba omba ni wachora ramani za ujambazi
Kuna mdada niliwahi kuwa nae kimahusiano akawa ananipa stori za familia yao, za ukoo wao mpaka nikawa najiuliza hiv huyu hajui kipi cha kusema na cha kukaa kimya!?
Kwenye Kutoka anasema yeye ni mwenye wivu eeh!?
Sasa unakua Mungu halafu unakuwa na wivu tena halafu mamluki huwaambii kitu kuhusu huo ushubwada wa Mungu na dini zao. Huyo unaemhisi hayupo, hajawahi kuwepo na hatokuwepo
@Mtibeli humu watu wanajua, wana elimu na maarifa yasiyokuwa na mawaa, watu walishaishi na wengine bado wanaishi. Sasa ukija ukajifanya mjuvi utaulizwa swali moja tu uone watu hawana adabu. Mitandao mingine mathalan, neno upumbavu huonekana kuwa ni tusi kubwa lakini humu ndani ukikaa utaelewa...
Huwez kuelewa sababu ya stereo type ambayo tumekua tukiimbiwa miaka yote mpaka sisi wengine tulipoamua kuwa open minded na kuyatafuta maarifa bila mipaka
Unadhani Muajemi hayajui hayo unayoyahisi wewe? Anachosumbuka nacho miaka nenda rudi ni lile kundi dogo la makabila ya kusini ambayo ni almost 20% ya population ya hao ambao kwa kiasi kikubwa ndio wauza taarifa za Muajemi kwa Israel ila pamoja na yote Muajemi kwa intelijensia ni mwamba...
Hao masikini unaowatetea, maisha yao yote huwa ni funga. Kipindi hiki ni kutafuta tu huruma za kipumbavu kwa kufata mikumbo kwenye tamaduni za watu. Mara zote huwa nasema, kama unafunga funga kwa urekebu wa afya yako sababu hakuna Mungu, Malaika, Shetani wala Pepo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.