IKiwa umezaliwa 2000 kuja juu utashangaa lakin tuliokulia miaka ya 90 kurudi nyuma si ajabu maana kuna mambo mengi sana back then hayakuwa yanafanywa na watoto au vijana na kuyasikia ilikuwa ni nadra mnoooo. Kitu kama kuvuta sigara, kipindi hicho ilikuwa ni nadra mnoo kumuona kijana wa miaka...
Nakumbuka mida ya saa 4 hivi nikiwa darasa la pili namalizia kujiandaa niende shule nikisoma Mbugani Shule ya Msingi hapo Mwanza nikasikia habari zilizotufikia hivi punde radio Free Africa kuwa meli ya mv Bukobq imepata ajali, nikasikiliza nikatoka nje kumuita sister aje asikilize pia haikupita...
Huna cha kushauriwa, wewe ishi tu utakavyoishi. Miaka nenda rudi tunasema humu hakuna mechi inayoanza na aggregate, sijui huwa mnatuona hatuna akili! Tena una bahati uko mbali, ungechezea kerub la kisogo nireset medula
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.