Recent content by nsanzu

  1. nsanzu

    Kuna kazi wanaozifanya sijawahi kuelewa huwa wanaishi vipi

    Moja kati ya kazi zenye kuzeesha na kudhoofisha mwili ni hizo kazi, wale wengi wao huwa ni wageni wa mji, wakishaujua mji huwa wanajiunga na wasajili line za simu
  2. nsanzu

    Kuna kazi wanaozifanya sijawahi kuelewa huwa wanaishi vipi

    Acha stori za vijiwen mjomba, 40 feet unaijua vizur kushushwa na watu wawili!?
  3. nsanzu

    Kuna kazi wanaozifanya sijawahi kuelewa huwa wanaishi vipi

    Semeni kooote ila hapa kwa waokota makopo hapo asilimia 99 ni wezi. Kilo moja ya makopo ni sh 400 kama haijapanda, niambie kwa siku anakusanya kilo ngapi auze sh ngapi Nb; kuna baadhi ya hawa omba omba ni wachora ramani za ujambazi
  4. nsanzu

    Dada, Kaka siyo kila kitu cha kwenye familia yako ni cha kumueleza mwenza

    Kuna mdada niliwahi kuwa nae kimahusiano akawa ananipa stori za familia yao, za ukoo wao mpaka nikawa najiuliza hiv huyu hajui kipi cha kusema na cha kukaa kimya!?
  5. nsanzu

    Mawinga Kariakoo tafuteni kazi ya kufanya, sasa hivi Kila mtu anajua chimbo mnakera

    Bora hao mawinga, kuna hili la wanaouza vyombo na hizi malls zinazofunguliwa kila kukicha na wachina. Nacheka huku naogopa
  6. nsanzu

    Dereva Wa Marehemu Ssebo: Boss alikuwa katika hali mbaya, nilichokifanya nilimfanyia maombi

    Mpaka hapo implication yake ni nin? Mara nyingine kukaa kimya kunaepusha mambo mengi sana
  7. nsanzu

    Kweli Mungu hana upendeleo?

    Umesoma lakini ukaelewa!?
  8. nsanzu

    Kweli Mungu hana upendeleo?

    Kwenye Kutoka anasema yeye ni mwenye wivu eeh!? Sasa unakua Mungu halafu unakuwa na wivu tena halafu mamluki huwaambii kitu kuhusu huo ushubwada wa Mungu na dini zao. Huyo unaemhisi hayupo, hajawahi kuwepo na hatokuwepo
  9. nsanzu

    Unafikiri ni kipi kinafanya watu maarufu katika mitandao mingine wakija JF ni underdog?

    @Mtibeli humu watu wanajua, wana elimu na maarifa yasiyokuwa na mawaa, watu walishaishi na wengine bado wanaishi. Sasa ukija ukajifanya mjuvi utaulizwa swali moja tu uone watu hawana adabu. Mitandao mingine mathalan, neno upumbavu huonekana kuwa ni tusi kubwa lakini humu ndani ukikaa utaelewa...
  10. nsanzu

    Kuna mtego Iran anaingia pasipo kujua

    Huwez kuelewa sababu ya stereo type ambayo tumekua tukiimbiwa miaka yote mpaka sisi wengine tulipoamua kuwa open minded na kuyatafuta maarifa bila mipaka
  11. nsanzu

    Kuna mtego Iran anaingia pasipo kujua

    Unadhani Muajemi hayajui hayo unayoyahisi wewe? Anachosumbuka nacho miaka nenda rudi ni lile kundi dogo la makabila ya kusini ambayo ni almost 20% ya population ya hao ambao kwa kiasi kikubwa ndio wauza taarifa za Muajemi kwa Israel ila pamoja na yote Muajemi kwa intelijensia ni mwamba...
  12. nsanzu

    Kwa maelezo haya ya Dudu Baya ukiwa na hela bora ukatibiwe India

    Tushukuru!? Kwani mnatufanyia hisani?
  13. nsanzu

    Wanafuturishana matajiri tu, nani anakumbuka kuwapa riziki ya futari masikini?

    Hao masikini unaowatetea, maisha yao yote huwa ni funga. Kipindi hiki ni kutafuta tu huruma za kipumbavu kwa kufata mikumbo kwenye tamaduni za watu. Mara zote huwa nasema, kama unafunga funga kwa urekebu wa afya yako sababu hakuna Mungu, Malaika, Shetani wala Pepo.
  14. nsanzu

    Unatongozwa taratibu unatakaa kwa nguvu, kwanini..?

    Kiberenge umepatikana tena 😂 😂 😂 😂 😂 😂
  15. nsanzu

    Mambo ya kisheria unayotakiwa kuyajua kabla haujaamua kumuoa single mother

    Mpaka miayo imekatika, senge kweli hilo simp
Back
Top Bottom