Niwakumbushe tu wapenzi wa Mapiano, mpaka leo hii tuna Mapiano Nne tu!
1. Mang'dakiwe
2. Single Again
3. Kabza de Small ft Dj Mapholisa, Master Piece rmx
4 Zotata ya Pcee
Basi halitakiwi kuwepo, tena ukiwa ni mwanachama wao lazima wajue unamapenzi na nani kwenye hiyo kata yenu na unamkubali mbunge yupi jimboni kwenu. Kwa ufupi kuna upumbavu mwingi mnoo!
Ndugu,
Ondoa hilo neno Tetesi, kwani huo ni ukweli ulio dhahiri kwani mimi mwenyewe binafsi nimewahi kufuatilia mkopo huo na kigezo kikuu kilikuwa ni uwe mwanachama tena uwe na kadi ya uanachama. Anaepinga yeyote juu ya hili aje. Ilinibidi nifocus kwenye mambo mengine tu.
Nyumbani kwao kulikuwa na hali ngumu mnooo! Akawa amechaguliwa chuo akaenda kibishi sasa namna ya ku sustain maisha ya chuo ilikuwa ni kazi ngumu sanaa! Hiko kipindi sikuwa na shughuli rasmi ila nilijitahidi sana kumsupport upande wa chakula. Nilimsupport sana sababu najua alichokuwa anapitia na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.