Niko mwanza takribani ni mwezi Sasa lakini hapa nilipo maeneo ya nyegezi maji ni shida sana yanatoka bombani kwa mgao inalazimika wakati mwingine ununue yanayotembezwa, huo usafi bila maji utaufanya vipi kwa usanifu, bado eti tusilaum
Ni kweli tupu wengi wao Wana roho mbaya za kichawi nimeshuhudia kwa ndugu yangu Ana roho mbaya muongo mfitini Ana wivu amejaa ubinafsi mshirkina yaani wa ovyo kwa Kila kitu hata kwa watoto wake wa kuzaa mwenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.