Recent content by nox1

  1. N

    JamiiForums Tanzania Mkakati maalumu wa kukiimarisha Chama cha Mapinduzi

    Ushauri mzuri sana, ila naimani hayo yote CCM wanayafahamu na kutotekeleza sio kwa bahati mbaya. Ni hilo tu!
  2. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Wazanzibar wote tulishikana katika Uchaguzi, ndio maana ikapandisha ushindi hadi 97%

    Kwa statistics zipi? Hata wanzanzibar wote( including watoto wachanga) wapige kura mara 3 kwa kujirudia hawakupi ushindi wa 97%
  3. N

    JamiiForums Tanzania CCM , Nionyesheni Picha hata ya Mwandamanaji mwenye Bunduki, aliyeua Watanzania Oktoba 29?

    Kwa namna unavyowahamu polisi wa nchi, laiti angekuwepo raia yoyote aliyekuwa na silaha na amethibitika aliuua raia au polisi October 2025 unadhani bado angekuwa uraiani?
  4. N

    JamiiForums Tanzania Lets talk science kwa leo: Kwanini mpaka leo hakuna chanjo ya mafua?

    Common cold sio ugonjwa bali ni sign ya body immunity ku fight off infections.
  5. N

    JamiiForums Tanzania Sheikh anatoa ya rohoni, kuhusu yanayojiri Tanzania na yatakayotokea. Kuna msiba wa mzito utatokea ASAP

    Mbona huyo mganga alishakufa siku nyingi! Naona ametangulia yeye!
  6. N

    JamiiForums Tanzania Ndani ya Saa 48 Mtoto Wa Diamond Na Zuchu Achangiwa Mamilioni Ya Pesa Kuzidi Walizopata CHADEMA kwa karibu Mwezi Mzima

    Kwa hiyo Diamond nae ni chama cha siasa au Chadema alizaa na Zuchu? What a comparison!
  7. N

    JamiiForums Tanzania Bashiru: Chama chochote cha siasa hakiwezi kuepuka makosa, CCM bado inaaminika imebeba matumaini ya watanzania

    Huyu alishakatwa mkia siku nyingi. Nadhani Bashiru OG akikutana nahuyu asie na mkia sio tu watagombana Bali watakataana.
  8. N

    JamiiForums Tanzania Rais kwanini anahangaika na Matumizi Mabaya ya fedha kualika Vyama visivyo na Wawakilishi ( Vyama Feki)?

    "Ndege wafananao huruka pamoja". Yeye ni feki, ndio maana anakaa na vyama feki ili kuongea vitu feki !
  9. N

    JamiiForums Tanzania Huyo Mwenzao mmoja anayesemwa na Samia kwamba anaendelea kutafakari ni nani na anatokea Chama gani?

    Kumbuka kuna deadline ya siku 30. " a kick of a dying horse "
  10. N

    JamiiForums Tanzania Tanzania ni nchi pekee inayokimbiza mwenge kila mwaka duniani. Ndio maana kamwe haitofanikiwa licha ya utajiri wa rasilimali iliyonao

    Naona wewe ni miongoni mwa wengi ambao moshi wa mwenge umewaingia. I short hujitambui
  11. N

    JamiiForums Tanzania Tanzania ni nchi pekee inayokimbiza mwenge kila mwaka duniani. Ndio maana kamwe haitofanikiwa licha ya utajiri wa rasilimali iliyonao

    Kama kuna kitu cha kipuuzi, Kisicho na tija ambacho nchi imekuwa ikifanya miaka nenda rudi na si bunge wala wasomi wamehoji ni huu uchawi wa mwenge.
  12. N

    JamiiForums Tanzania Bunge la Marekani laikosoa ripoti ya Chade, lataka Samia afikishwe ICC

    Tuseme ni kweli au si kweli, unadhani anastahili kupelekwa wapi zaidi?
  13. N

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Sasa kama serikali imetangaza uwepo wa ugaidi, unawezaje kuruhusu mikusanyiko ya watu zaidi raia wa kigeni. Acha wapeleke kuliko na Amani
Back
Top Bottom