Recent content by nox1

  1. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ni Kwanini Rais aliyepo Madarakani anafanya kampeni wakati bado Yuko Ikulu?

    Mbona hushangai mpaka sasa mawaziri wanahudumu katika nafasi zao wakati bunge lilishavunjwa?
  2. N

    JamiiForums Tanzania Watanzania wepesi wa kusahau. Kuna ile kashfa ya Kikwete kununuliwa suti za jamaa wa Dubai, ile scandal iliisha kimya kimya. Mjueni Kikwete vizuri.

    Nadhani kuna haja ya bunge kupitisha sheria ya viongozi wote wastaafu waliohudumu katika ngazi za uwaziri mkuu, umakamu wa raisi na uraisi kutojihusisha na siasa wao wabaki kula pension wanazolipwa na watanzania. Si vema ulipwe pension na watanzani ukabakia kuwa katika chama chako cha kisiasa...
  3. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kuna kila dalili CCM wakakatisha kampeni. Sababu ni hizi hapa

    Hawa ndio Watanzania halisi. Woga ndio sifa yetu !! Kama hata kuzomea tu unaogopa acha wahuni waendelee kufanya yao !!
  4. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Dkt. Bashiru ajitenga na Polepole, asema awamu ya 6 inafanya vizuri zaidi

    Usimlaumu analinda uhai wake,hana pakukimbilia!!
  5. N

    JamiiForums Tanzania Ukimsikiliza Polepole, lazima utajiuliza Vyombo vya Ulinzi na Usalama katika nchi vinafanya nini?

    Hao wote uliowataja ni wateule wa raisi. Huna haja ya kula na kila mmoja wao !!
  6. N

    JamiiForums Tanzania Polepole apuuzwe kuhusu gesi

    Nashindwa kukujibu maaana najua uko kwenye payroll lazima upotoshe ili ku-justfy malipo.
  7. N

    JamiiForums Tanzania Polepole tumekuchoka na kelele zako. Kila siku kifo cha Magufuli, kifo cha Magufuli

    Vyovyote vile ambavyo jamii itakuelewa.
  8. N

    JamiiForums Tanzania Polepole tumekuchoka na kelele zako. Kila siku kifo cha Magufuli, kifo cha Magufuli

    Tuthibitishie kuwa Mungu alitumia Covid-19 kumwadhibu Magufuli.
  9. N

    JamiiForums Tanzania Makatibu uenezi 5 ndani ya miaka 5 Tatizo ni nini?Samia kuna shida mahali

    Kwani anaenda kufanya mtihani na A.R Migiro? Siasa hasa za kwetu hazizingatii academic achievements ni mtu kujiamini, kuaminiwa na kupanga hoja zako.
  10. N

    JamiiForums Tanzania Watanzania kwa Umoja wao waidharau Tume ya Uchaguzi, Waamua kutopiga Kura

    Silaha kubwa waliyobakiwa nayo wananchi ambayo haina madhara kwa maana ya kupigwa mabomu ya machozi, kupigwa,kutekwa ni kukaa nyumbani na kutoshiriki katika zoezi la kupiga kura BUT kwa namna niavyowafahamu Watanzania hilo nalo halitawezekana maana zitapitiishwa propaganda na siku si nyingi...
  11. N

    JamiiForums Tanzania INEC: Kuhusu upotoshaji wa kuunganishwa kwa mfumo wa uchaguzi na mifumo mingine

    Njia pekee itakayo warudishia imani wananchi ni kwa serikali kuruhusu vyombo huru binafsi( private investigators)kutoka nje ya nchi kufanya audit ya mifumo hiyo. Mteule yoyote wa raisi ambae pia ni mgombea wa CCM hawezi kuaminika Aslan.
  12. N

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Yanga wameamua kuchoma Jezi za Yanga

    No sense! Wewe ambae unaichukia CCM una impact gani. Polepole na mzee Malisa wanahitaji support mchango wako uko wapi?
  13. N

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mtu wa ku share nae biashara

    Kwa bahati mbaya sana Watanzania hawana utamaduni wa kuheshimu sheria nadhani kwakua wanajua wanaweza wakanunua hukumu. Naongea hii kwa kuzingatia experience yangu binafsi. Swala la ubia liwe ni option yako ya mwisho kabisa kuwa ukikutana na matokeo usiotarajia hutakuwa na lakupoteza .
  14. N

    JamiiForums Tanzania Hassan Abbas azuie udhalilishaji wa Waadizabe

    Nakubaliana na wewe 100%
Back
Top Bottom