Nadhani kuna haja ya bunge kupitisha sheria ya viongozi wote wastaafu waliohudumu katika ngazi za uwaziri mkuu, umakamu wa raisi na uraisi kutojihusisha na siasa wao wabaki kula pension wanazolipwa na watanzania. Si vema ulipwe pension na watanzani ukabakia kuwa katika chama chako cha kisiasa...
Silaha kubwa waliyobakiwa nayo wananchi ambayo haina madhara kwa maana ya kupigwa mabomu ya machozi, kupigwa,kutekwa ni kukaa nyumbani na kutoshiriki katika zoezi la kupiga kura BUT kwa namna niavyowafahamu Watanzania hilo nalo halitawezekana maana zitapitiishwa propaganda na siku si nyingi...
Njia pekee itakayo warudishia imani wananchi ni kwa serikali kuruhusu vyombo huru binafsi( private investigators)kutoka nje ya nchi kufanya audit ya mifumo hiyo. Mteule yoyote wa raisi ambae pia ni mgombea wa CCM hawezi kuaminika Aslan.
Kwa bahati mbaya sana Watanzania hawana utamaduni wa kuheshimu sheria nadhani kwakua wanajua wanaweza wakanunua hukumu. Naongea hii kwa kuzingatia experience yangu binafsi. Swala la ubia liwe ni option yako ya mwisho kabisa kuwa ukikutana na matokeo usiotarajia hutakuwa na lakupoteza .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.