Hapo utapata taabu kuwaelezea[emoji23][emoji23],watu hawajasikiliza interview uyo dada alikuwa mvumilivu kupitiliza had kaamua kujitolea mahari ya uongo uongo,
Na vyote kaongea hata tamasha idea ametoa yeye na uzuri ana ushahid Na watu kawataja,
*Nguo za harus wamepewa bure,
*had pakukaa...