Recent content by notyfeky

  1. notyfeky

    Kuna wengine hatujui tulipokosea

    Naweka kambi hapa
  2. notyfeky

    Naomba muongozo wa biashara ya mifuko

    Habari nduguzangu. Kuna hii mifuko inayotumika kubebea mahitaji mbalimbali ya nyumbani, ambayo rejareja huuzwa 200, 300 na 500. Bei ya jumla inauzwaje? Na je inakaa mingapi? Inapatikana wapi kwa Dar es Salaam. Nataka kuagiza nizungushe kwenye manuka kwa bei ya jumla jumla.
  3. notyfeky

    Wapendwa naona kama mwisho wangu umekaribia

    Kuwa mwanaume sio jambo jepesi hata kidogo.
  4. notyfeky

    Mchanganuo wa biashara ya saluni (vifaa/matumizi/faida)

    Na wasiwasi mkuu unaomba ushauri wa namna ya kuifanya hii biashara, maana hata hesabu zako hazijakaa sawa.
  5. notyfeky

    Biashara ya saluni ya kunyoa na kupunguza nywele utaratibu wa kulipia mapato ya serikali ukoje?

    Habari. Biashara ya saluni ya kunyoa na kupunguza nywele utaratibu wa kulipia mapato ya serikali ukoje? Naomba ufafanuzi nisije kuyatimba wakati mwaka bado bikra huu.
  6. notyfeky

    Naombeni ushauri kabla hili halijaniua

    Unataka kufa ili mke aendelee kutumbuliwa
  7. notyfeky

    Wapi nitapata daladala za kufika Bagamoyo haraka kati ya Chalinze na Mlandizi?

    Vipi Mlandizi maisha yakoje? Vipi mzunguko wa pesa na shughuli za kiuchumi? Viwanja pia vinaendaje? Nataka kuweka makazi ya kudumu hapo.
Back
Top Bottom