Recent content by NoTears

  1. NoTears

    Kumsomesha mke wako chuo

    Kama si mwaminifu, hata ukimfungia ndani atagongwa humohumo ndani. Okoa familia yako kwa kumuondolea ujinga, mengine ni akili ya mtu na Mwachie Mungu.
  2. NoTears

    Magufuli anza na Mikataba ya Gas, Madini, IPTL, SYMBION, ESCROW, Lake Oil, Lake Gas..

    Na kama sio kama wengine, cha kwanza kuonyesha kuwa ni msafi na mpambanaji wa haki alitakuwa akatae kusaini matokeo. Haki ya mtanzania wazi imeporwa hapo.
  3. NoTears

    Magufuli anza na Mikataba ya Gas, Madini, IPTL, SYMBION, ESCROW, Lake Oil, Lake Gas..

    Cha kwanza alisema atafungua mahakama ya mafisadi. Ukweli halitekelezeki kwani katiba imeeleza mifumo mahama zetu, na haijampa mamlaka raisi ya kuanzisha mahakama. Uki ahidiwa nawe jiongeze usishangilie tu. Hili halina mjadala haliwezekani angethubutu kusema atapambana na mafisadi kwanza kwa...
  4. NoTears

    Kwa hili tukio la leo, ITV wasiachwe hivi hivi, wachukuliwe hatua za kisheria

    Kama wamefanya ivyo wapo sahihi, Raisi wa jamhuri ya muungano watz ni Dkt J. K. Kikwete, yeye kashinda uchaguzi wa uraisi kwa tiketi ya ccm, hajaapishwa kuwa raisi. Nchi haiwezi kuwa na raisi wawili kwa wakati mmoja. Tufikirie kabla ya kukurupuka. Acha ushabiki, we shangilia ushindi wa ccm...
  5. NoTears

    Magufuli anza na Mikataba ya Gas, Madini, IPTL, SYMBION, ESCROW, Lake Oil, Lake Gas..

    Kweli sisi ni walewale, Kwenye kampeni aliongelea kupambana na ufisadi, ila njia aliyoitoa haitekelezeki kikatiba. Nilidhani mtamwambia aanze na katiba ya wananchi ili aweze kupambana na ufisadi huo
  6. NoTears

    Magufuli anza na Mikataba ya Gas, Madini, IPTL, SYMBION, ESCROW, Lake Oil, Lake Gas..

    Katiba hairuhusu kuingilia mambo ya wakubwa. CCM NI ILEILE KIKWETE NI YULEYULE MAGUFULI NI YULEYULE MIKATABA NI ILEILE WANANCHI NI WALEWALE MGAO WA UMEME NI ULEULE IFISADI NI ULEULE CCM MBELE KWA MBELE
  7. NoTears

    CCM mfupa mgumu uliomshinda CHADEMA, karibu ACT wazalendo

    Ni ndoto ya mchana, cha kutafuna fupa hilo ni katiba ya wananchi itayoelekeza kuwa na tume huru ya uchaguzi na kuruhusu mtu kuweza kupeleka malalamiko na ushahidi hata kama tume imeshatangaza matokeo. Act ina mwakilishi 1 bungeni hana uwezo wa kuleta mabadiliko hayo kikatiba. Tume itakuwa ni ile...
  8. NoTears

    CCM mfupa mgumu uliomshinda CHADEMA, karibu ACT wazalendo

    Haijaishinda Chadema, imewashinda watanzania ccm ni ile ile, kikwete ni yuleyule, magufuli ni yuleyule, umaskini ni ulele, ujinga ni uleule, watanzania ni walewale, mgao wa umeme ni uleule. Kawimbo kazuri sana haka na kamedhihirika baada ya mtu kutangazwa uraisi mgao umeanza ujaacha hata...
  9. NoTears

    Edward Lowassa aongea na Watanzania; aahidi Katiba Mpya itapewa kipaumbele - Oktoba 23, 2015

    Kinachonistahajabisha ni wanaccm tunavyokataa ukweli na kushindwa kujibu hoja zaidi ya ku panic na kukebei. Kushindwa au kushinda ni matokeo, watanzania tunataka mabadiliko ya kweli na si mipasho, mzee kaongea point hata pa kukosoa hakuna, tutafakari na si kutapatapa.
  10. NoTears

    Watanzania tukijenga tabia ya kujisomea, tutafanya maamuzi yasiyo na mkumbo Oktoba 25

    Ukisoma katiba inayoongoza nchi yetu, rasimu ya katiba ya Mhs Warioba na rasimu iliyopitishwa na bunge itakufanya ufanye maamuzi sahihi. Kwa mtazamo wa kuwa CCM ikipita rasimu iliyopitishwa na Bunge la katiba itapita na kuongoza nchi. Ufisadi na mwenendo wa maadili wa viongozi wetu hakuna...
  11. NoTears

    Familia ya CDF Mwamunyange: Yupo nje ya nchi kwa majukumu ya Kitaifa

    Kama ipo tunaamini shahidi no1 atakuwa ni anayezushiwa tutamuona
  12. NoTears

    Familia ya CDF Mwamunyange: Yupo nje ya nchi kwa majukumu ya Kitaifa

    Kwaiyo kuna kesi kwa ajili ya uvumi huo?
  13. NoTears

    Familia ya CDF Mwamunyange: Yupo nje ya nchi kwa majukumu ya Kitaifa

    Swala hapa sio nafasi yake kifamilia ni nafasi yake kitaifa na kwa watabzania, kwa mtazamo wangu serikali ilupaswa kuondoa hofu na uvumi huu kwa watanzania na si mwanafamilia nafasi yake ipo kwa familia na si watanzania. Tuwe makini na vumi zinazoweza kuondoa imani kwa watanzania. Kama ni uvumi...
  14. NoTears

    Familia ya CDF Mwamunyange: Yupo nje ya nchi kwa majukumu ya Kitaifa

    Tetesi zimeletwa na chadema? Au mazoea na hofu za kisiasa. Mi nasikia sikia tu sikujua kama ni chadema. Duu hii kali
Back
Top Bottom