Recent content by Not in use

  1. N

    CCM yaliteka jiji la Arusha - Jan 26, 2014

    Niko hapa na kada wetu Saiboku na Wille mtoto wa Monduli.CCM imejaliwa vijana wenye upeo mkubwa sana.
  2. N

    CCM yaliteka jiji la Arusha - Jan 26, 2014

    Kuna tetesi zimetufikia hvi punde eti chadomo wanajipanga kuzomea.Hawajui fire ya green guard
  3. N

    CCM yaliteka jiji la Arusha - Jan 26, 2014

    Ndugu zangu bado tupo kikaoni,nitawajulisha soon kilichojiri.Ila bado kuna shamra shamra hapa za kutosha Vijana wamependeza na sare zao za kijani na njano.Media zipo za kutosha
  4. N

    CCM yaliteka jiji la Arusha - Jan 26, 2014

    Bado vikao vya hapa na pale vya kufanya logistics vinaendelea.Na muda muafaka ukifika ntawajuza rasmi.Baadhi ya makada wetu nimeongea nao hapa wanaonyesha furaha sana.Pongezi kubwa kwa kamati ya maandalizi
  5. N

    CCM yaliteka jiji la Arusha - Jan 26, 2014

    Mkutano mkubwa wa na wa kihistoria wa uzinduzi wa Kampeni za Udiwani wa CHAMA CHA MAPINDUZI kata ya Sombetini utafanyika leo soko la Mbauda. Kipenzi cha watu, homa ya CHADEMA Mwigulu Lameck Nchemba Naibu Waziri wa fedha atafungua kampeni hizi pamoja na viongozi wengine wa mkoa. Mama yetu...
Back
Top Bottom