Recent content by norble gas

  1. N

    Mkuu wa Shule ya Msingi Nakayaya asimamishwa kuwa Mkuu wa shule hiyo bila sababu yoyote ya Msingi.Inaelezwa kuwa migogoro binafsi

    Siku hizi shule ya msingi nako kuna wakuu wa shule? Me nilidhani huwa kuna walimu wakuu kiongozi? Pole sana kwa kunyang'anywa tonge na mratibu elimu wako
  2. N

    PreGE2025 Lissu na kauli mbiu ya “No Reforms, No Election” ni mipango ya Mungu au ya Shetani kutusambaratisha?

    Yaani miongoni mwa watu insane ni bwana njaa kwa mjibu wa bwana Dr John Pombe Magufuri
  3. N

    Nifanye kipimo gani kwa mtoto wa miaka 11 anae zimia mara kwa mara nijue anaumwa nini

    Huyo mtoto wako i guess atakuwa na vidonda vya tumbo. Nashauri akafanyiwe H.pylori test utapata bainisho
  4. N

    PreGE2025 No Reforms No Election? Litakuwa kosa la miaka 5!. Simamisheni wagombea acheni kususa

    Ant Lissu katika ubora wako! Samahani hivi Lissu alikuchukulia mchepuko wako?
  5. N

    Mkurugenzi Mkuu VETA: Hata wenye PhD wanakaribishwa VETA

    Uteule ni zaidi ya Phd mkuu kwa Tanzania
  6. N

    Huwa najiuliza watu wa Singida na Dodoma huwa wanaishi vipi

    Jomba acha hizo mambo sawa! Hujui Bunda ndo anatoka makamu mwenyekiti wa chama cha akina Mwashamba? Hivyo automatically siyo masikini
  7. N

    Arusha: Mke ampa kipigo mumewe hadi kumuua

    Umeonae? Hamna kiumbe hatari duniani kama mwanamke
  8. N

    Nakuchukia Baba yangu

    Wewe kijana fuata baraka kwa baba yako utafanikiwa. Sisi sote tumezaliwa na hawa mama zetu tunajua mazuri yao lakini pia tunajua mapungufu yao. Wana sumu kali ya kuharibu watoto, ukiwa mtoto wa kiume utakuja kugundua pale utakapo oa, utafanyiwa vituko na mke wako ndo akili zitakurudi kwamba...
  9. N

    Nakuchukia Baba yangu

    Mzee wako yawezekana alikuwa anahitaji kuwahudumia ila mama yako alikuwa anamuwekea kizingiti yawezekana cha kumuua au kumumwagia maji ya moto. Kadharika mzee wako yawezekana alikuwa anawahudumia ila mama yako anawadanganya kuwa baba yenu hawahudumii kwa chochote. Hayo yapo mengi tu mtaani...
  10. N

    Nakuchukia Baba yangu

    Ukisha oa utayajua mengi kijana. Tena wewe unaweza kukimbia familia zaidi ya baba yako. Kua uyaone
  11. N

    Vigezo vya kutoa Hela kwa Mwanamke ambaye siyo Mke wako, Dada yako wala Mama yako

    Madini matupu! Wanaume tusiwape hovyo hawa viumbe pesa. Pesa zetu tunazo wapa hawa viumbe baadae zinageuka kuwa sumu za kutumaliza
Back
Top Bottom