Recent content by norasco

  1. N

    Yaliyojiri: Uzinduzi wa kampeni za CHADEMA jimbo la Kalenga

    CHADEMA acha siasa za kujifariji kalenga amna chenu WAZALENDO wa nchi wanakuja kuwasha moto kumwaga sera jinsi ya kutekeleza ilani MWIGULU NAPE WANAKUJA KALENGA.
  2. N

    Kwako Lema - Mbunge wa Arusha mjini

    Eti lema ndo nani?vijana tunataka maendeleo sio siasa za maji taka kusafisha jiji eti mnalipizia kisasi acha umbulazZZ nenda shule si kuongea tu machinga complex iko wapi.
  3. N

    Mwigulu aanza coaching mbinu za ushindi kwa Mgombea Ubunge wa Kalenga CCM

    mwigulu baba la wapinzani kalenga mwigulu akifungua tutashinda kiti hicho cha ubunge mtu makini anatamba kwa hoja si vioja vya wapinzani hasa CDM.
  4. N

    Wakati umefika Kunadi Sera Badala ya Uchochezi chadema jifunze kujenga Hoja.

    Hoja yangu nieleweke kuwa wanasiasa umefika wakati tuanze kunadi sera za chana Ilani za vyama pengine hata falsafa ili wapiga kura wachambue sio uchochezi,kashfa,na vitendo vinavyoashilia uvunjifu wa Amani kushinda kufanya hivyo tutaishiwa kusema kura zimeibiwa jifunze CDM.
  5. N

    CHADEMA ni wabepari iweje leo kusema chama cha wananchi

    Asubuhi post yangu kuwa wananchi Awana imani na Mabepari na siasa za Maji taka vurugu Wapinga imani JAMANI MTAJI MASIKINI NI AMANI.
  6. N

    CHADEMA ni wabepari iweje leo kusema chama cha wananchi

    Chadema chama cha kibepari walichonacho akina mbowe wanazidi kujenga dubai ruzuku misaada wanatafuna hata gazeti la chama anamiliki mbowe eti lake tahasisi gani wanashindwa kujenga ofsi wanazidiwa na PRIDE pesa yote mfukoni na kukopeshana.
  7. N

    CHADEMA ni wabepari iweje leo kusema chama cha wananchi

    mwasisi wa hiyo tahasisi ni nani au chama akina falsafa?
  8. N

    CHADEMA ni wabepari iweje leo kusema chama cha wananchi

    mwasisi wa chadema mtei wakati mwalimu nyerere anatetea maskini na siasa za ujamaa MTEI alitetea ubepari mpaka mwalimu kamfukuza serikalini iweje leo waseme chadema ni ya wananchi?
  9. N

    Hakuna chama cha upinzani Tanzania kinachoweza kuunda serikali

    HATI naamin kuwa ccm ndo chama cha watu makini wenye uwezo wa kuongoza nchi sio siasa za wenzetu kuchumia tumbo na kujifanya safi wakati wanaficha pesa na nyumba dubai.
  10. N

    Hakuna chama cha upinzani Tanzania kinachoweza kuunda serikali

    UNASEMA bajeti ilisomwa na mdogo wake Tundu lisu cristina na zitto akuhusika kuandaa bajeti hiyo wala akuwa bungeni.
  11. N

    Hakuna chama cha upinzani Tanzania kinachoweza kuunda serikali

    Ufike wakati kuwa na wapinzani wenye uwezo hata kuandaa hotuba mbadala ya upinzani ya kuelekeza chama tawala kwa manufaa ya nchi sio kawa upinzani wa sasa usio great thinkers. Mfano bajeti ya fedha ya upinzani CHADEMA iliyokataliwa na mchumi Mwigulu kwa kutokuwa makini na ya hovyo.
  12. N

    Deus Kibamba ni nani?

    Tanzania ukiniuliza ninayemchukia kibamba Ni mwenyekiti jukwaa la katiba chadema atakuwa na kadi jamaa.
  13. N

    Mahojiano ya mh. Mwigulu Nchemba na kituo cha habari cha BBC,aonya upinzani kubweteka

    CCM makini sana na vijana makini sana akina mh.MWIGURU pole kaka na zihara kubwa ya kujenga chama make wengine wanawatuma wazee babu slaa au shemeji yangu vijana taifa la Leo bwana viongozi wa chadema elimu wola ndo maana mtu kama zito aburuzwi na wenye ELIMU ndogo kina sugu na Lema MWIGURU...
  14. N

    Picha: Mabadiliko hayatakuja kwa kubadilisha vyama bali ni nia zenu mpya na mapenzi ya NCHI- Nchemba

    Kaka ongera sana kwa post nzuri mwiguru is a futere president of this country akuna kijana mwenye ubongo unaochenka kama huyu kama akiamua kugombea nitakuwa team mwiguru na jitaidi kuelimisha vijana waliobugizwa chuki baada ya wapinzani kuona ndo mwiba wao ila sie wasomi tunamuelewa.
  15. N

    Vijana wenzangu ni wakati Muhafaka kujadili siasa zenye tija kwa Taifa si ushabiki tu.

    Kama hoja inavyosema hapo juu ombi kwa vijana wenzangu ni wakati sasa kuwa washabiki kwa wanasiasa wanaoleta maendeleo kwenye majimbo yao mfano mwigulu,zito,dewji,magufuli na wengine ambao sijataja tuache ushabiki wa chama au mtu wengine ni maneno 2 majimbo hoi mfano Lisu mashule ya kata...
Back
Top Bottom