Recent content by NOOSIGWE

  1. NOOSIGWE

    Huyu ndiyo Diamond, ukimuacha anakula shoga yako kwanza

    inawezekana maana mpaka mtu anasema hivyo anauzoefu na huo uzoefu mtu anaupata kwa watu wa karibu labda ameona kwa mama yake mzazi , dada yake shangazi yake au bibi yake mke wake au binti yake si rahisi kuongelea usichokijua
  2. NOOSIGWE

    NEC yatangaza tarehe ya Uchaguzi Majimbo ya Simanjiro na Serengeti

    Kaijage ye ndio anawatoa hao wabunge kwenye vyama vyao naijiuliza sipati jibu hivi Mke akichukuliwa na Mwanaume mwingine tena jirani yako na anakukana hadharani utamlaumu huyo mwanaume?? au na alikoenda akiamua kuolewa utamlaumu Shekh/Mchungaji kwa nini unafungisha ndoa ya mke alokukimbia na...
  3. NOOSIGWE

    NEC yatangaza tarehe ya Uchaguzi Majimbo ya Simanjiro na Serengeti

    Mngekuwa mnasomaga basi na sheria za uchaguzi zinasemaje Jimbo linapokuwa wazi, badala ya kukurupuka na mineno isiyokuwa na msingi na si muwatulize basi hao wanaohama wabaki kwenye vyama vyao kama kweli walienda huko kwa moyo wa kufia chama na si kutafuta maisha.
  4. NOOSIGWE

    Jipatie viwanja manyoni mjini, michese mjini, dodoma na mashamba ruvu pwani

    Vya Manyoni vipo kwenye process ya kupimwa na kwa sasa kuna hivyo viwanja tajwa kwa kuwa muuzaji ni muhusika sio dalali
  5. NOOSIGWE

    Jipatie viwanja manyoni mjini, michese mjini, dodoma na mashamba ruvu pwani

    Viwanja bei poa vinapatikana Manyoni Mjini Vipo jirani na makazi ya watu Kuanzia SQM 800 na kuendelea Bei kuanzia 1,500,000/= na kuendelea. Viwanja 4 bei poa vinapatikana Dodoma Mjini maeneo ya MICHESE vina SQM 800 na kuendelea Bei kuanzia 3,500,000/= na kuendelea, maelewano yapo, eneo...
  6. NOOSIGWE

    Usiyoyajua kuhusu Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC), Dkt. Athumani Kihamia alivyovuruga Halmashauri

    Hii nimeipenda Big up kutufafanulia, hilo ni moja nina uhakika na mengine yote yana majibu kama haya. Naamini ye sio kichaa na mwandishi hasemi kwa nini alivunja au kufuta jambo, kwanza kwa Mtazamo wangu viongozi kama DR KIHAMIA ndio tunawataka tena ni wachache katika nchii. DR KIHAMIA songa...
  7. NOOSIGWE

    Chaguzi za Marudio mpaka sasa zimegarimu bilioni 80 sawa na vivuko 6 vipya

    tungepata na mchanganuo wa hizo bilioni 80 ingependeza lakini ingependeza zaidi Tungeweka humu na mahesabu za matumizi ya ruzuku
  8. NOOSIGWE

    Freeman Mbowe: Rais Magufuli wawajibishe Viongozi na Wasimalizi wa MV. Nyerere

    wekeni mtego tuone wakati wakipewa hizo ahadi na hivyo vitisho kama kweli hayo yapo inamaana haijatoikea mtu akakataa akamwaga ushahidi hadharani kuhusuhizo ahadi alizopewa au vitisho
  9. NOOSIGWE

    Maswali muhimu ya kumuuliza Mkurugenzi wa uchaguzi nchini Dr Athuman Kihamia

    heeee kumbe wanatangaziwa bei naona kama unakikashifu CHAMA kwamba hakina wanachama wenye moyo na maslahi ya chama ila wana wanachama wenye maslahi binafsi basi safari ndefu duh na bado mbichi
  10. NOOSIGWE

    Maswali muhimu ya kumuuliza Mkurugenzi wa uchaguzi nchini Dr Athuman Kihamia

    kwa upinzani huu ni muda wa kujipanga ili kuhakikisha madiwani na wabunge waliobaki hawakimbii tena, malumbano hayana tija tafuteni wafia chama msonge mbele watanzania tunatamani kujua huko ndani kunani watu wanakimbia usiku na mchana
  11. NOOSIGWE

    Freeman Mbowe: Rais Magufuli wawajibishe Viongozi na Wasimalizi wa MV. Nyerere

    Sio kuuliza choo tu ambacho ni muhimu lakini pia wamuulize anamkakati gani wa kuhakikisha madiwani wake na wabunge hawamkimbii na kwa utafiti wake kwanini wanamkimbia,
Back
Top Bottom