Pascal usituaibishe bwana. Kamati Kuu ya chama ndio chombo cha juu katika chama ukiacha mkutano mkuu. Ukifukuzwa uanachama na taarifa ikafika bungeni na tume ya uchaguzi lazima uondolewe bungeni.
Au unataka mpaka Spika aalikwenye kwenye kikao cha maamuzi? Acha hizo kaka yanghu. mimi sina chama...
Hawa wana ofisi zao. Kabla ya kupelekwa kumlinda rais bosi wao aliwatuma kazi hiyo. Kimaandili sikutajii ofisi zipo wapi lakini watarudi na kupangiwa kazi nyingine.
Mimi sio Chadema lakini huyu kijana aliniudhi aliposema "Safari hii hatutumii bunduki tutatumia sindano shwaaaaaaa....." Huu ulikuwa ujinga wa hali ya juu kwa sababu aliyeumizwa ni binadamu sio mnyama. Hata angekuwa nyama chama cha kuwatetea wangekuja juu.
Niliwahi kuelezwa na mtaalamu mmoja wa usafiri wa ndege kwamba ATCL litakufa kwa sababu linaendeshwa kisiasa. Chato ilikuwa inakwenda kisiasa tu. Ni ujinga wa kutojua biashara
Hakumtukana, hao wanaosema hivyo wana akili finyu, yeye alimkosoa na hata Mwalimu Nyerere alikiri enzi za maisha yake kwamba kuna makosa aliyafanya wakati wa utawala wake na akaomba asamehewe, tumeshamsamehe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.