Recent content by nokwenumuya

  1. N

    JamiiForums Tanzania DOKEZO NFRA inahujumu mfumo wa Stakabadhi Ghalani

    NFRA ichunguzwe. Naona malalamiko dhidi yake ni mengi sana huku.
  2. N

    JamiiForums Tanzania DOKEZO NFRA inahujumu mfumo wa Stakabadhi Ghalani

    Wakala wa Hifadhi ya Chakula ya Taifa, yaani NFRA ni Taasisi iliyoanzishwa mahsusi kuhakikisha kuna kuwepo na Hifadhi ya Mazao ya Chakula muda wote Nchini. Hununua mazao ya Chakula, kuyahifadhi, kuyachakata, kuweka kwenye Vifungashio na Hatimaye kuuza ndani na nje ya Nchi. Mazao ya Chakula...
  3. N

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Nasikia fagio laelekezwa kwa Amos Makalla

    How?
  4. N

    JamiiForums Tanzania Uteuzi Julai 31, 2024: Rais Samia aunda Tume ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala ya Kodi (Presidential Commission on Tax Reforms)

    Hopeless. Hakuna hata mmoja amewahi uza nyanya hapo. Watu wasiojua chochote kuhusu uhalisia
  5. N

    JamiiForums Tanzania Mizengo Kayanza Peter Pinda

    Wa kwanza
  6. N

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Nasikia fagio laelekezwa kwa Amos Makalla

    Sahihi. Alikumbatia miiba
  7. N

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Nasikia fagio laelekezwa kwa Amos Makalla

    Aisee. Mother anawabutua sana
  8. N

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Nasikia fagio laelekezwa kwa Amos Makalla

    Nasikia fagio la Mama laelekezwa kwa Amos Makalla. Inasemekana ni askari mtiifu wa Msoga na aliwekwa na Mzee Kinana. Pia soma: Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia Yajaaayo....
  9. N

    JamiiForums Tanzania Maendeleo yanaheshimu rangi?

    😂😂😂😂 Mungu hakunyimi vyote sio
  10. N

    JamiiForums Tanzania Murtaza Mangungu leo ni Countdown yangu ya Kwanza Kwako kukutaka uachie Ngazi Simba SC na usije kusema Sikukuonya kwani huwa sibahatishi kwa lijalo

    Mangungu alitekeleza ahadi ya kuchaguliwa kwake. Kuwa akichaguliwa ataifunga Yanga. Na kweli akaifunga. Sasa kosa lake nini?
  11. N

    JamiiForums Tanzania Tengua - teua ni danganya toto tu! Hazina tija yoyote ile

    Takataka
  12. N

    JamiiForums Tanzania Tengua - teua ni danganya toto tu! Hazina tija yoyote ile

    Naiita CCM ni recycle bin sababu kila siku inaingia kwenye "PIPA la taka" na kuona "takataka" gani waliiweka mle na wairejeshe kwenye desktop iweze kuonekana. Hizo "takataka" zinazoibuliwa kila siku hakuna zinazofanya zaidi ya kujigamba wao ni Watoto wa mjini.
  13. N

    JamiiForums Tanzania John Mongella: Mimi ni Mtoto wa Mjini nimezaliwa Kariakoo, nawasihi vijana msitishwe na yoyote, kwenye kusaka Dola hatutabembelezana!

    Kwa hiyo anajisifia mama yake alitomb...a kariakoo vichochoroni?
  14. N

    JamiiForums Tanzania John Mongella: Mimi ni Mtoto wa Mjini nimezaliwa Kariakoo, nawasihi vijana msitishwe na yoyote, kwenye kusaka Dola hatutabembelezana!

    Kwa hiyo baba yake na Mama yake waliozaliwa Ukerewe ni wajinga?
Back
Top Bottom