Kunywa maji mengi sna kiasi kwamba hata ukimuweka chura tumboni anaweza kuishi. Mimi niliwahi kuwa na tatizo kama hilo ila nilipona kwa dozi ya vidonge vya mwezi 1 na unywaji wa maji mengi hadi vyura wakawa wakiniona wananishangalia njiani.
Mkenge ipo katikati ya kijiji cha mwavi na fukayosi njia kuu ya kutoka bagamoyo kwenda msata.
Wastani wa kilometa 35 kutoka bagamoyo mjini hadi hapo kwenye njia panda ya kwenda mkenge. Na panaumbali wa kilometa 10 kutoka main road hadi kijijini mkenge.
Kwahiyo wape watu taarifa kamili ili mtu...
Mashabiki wa yanga wapumbavu, hakuna hata mechi moja mliojaza uwanja kwa pesa zenu. Hata yanga day hamjazi wanja...hadi muweke viingilio bure alafu leo mnakuja kuponda udhamini na bado mnata timu ichukue makombe yote. Ovyo sana nyie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.