Recent content by Noisy n Dusty

  1. Noisy n Dusty

    Mayele achemsha kwa Waganda, atolewa dakika ya 73, nilisema nje ya Utopolo anaenda kujimaliza

    Huko kwenu wenye akili bado ni wale wale 2, na duru inavyosomeka wataendelea kuwa hao hao kwa miaka mingine mi ijayo
  2. Noisy n Dusty

    Mbowe: We are surrendering our Sovereignty to Dubai

    Shikilia hapo hapo Mbowe, maana toka lile pigo moja kuna mipanya buku zaidi ya laki imetoka kwenye shimo ikikimbia hovyo hovyo huku ikiweweseka
  3. Noisy n Dusty

    Nimetoka ukweni Kigoma, ila kama hii ndiyo aina ya wazee acha wabaki na watoto wao!

    Usimuache huyo binti, tuma mahari kwenye simu then subiri Baba mkwe afe umuoe[emoji41]
  4. Noisy n Dusty

    Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

    Ndo maana wanaume tunakufa mapema sana, unnecessary stress[emoji28]
  5. Noisy n Dusty

    Tetesi: Florent Ibenge karibu Jangwani

    Huna maokoto ya kumlipa Ibenge, Pumzika
  6. Noisy n Dusty

    Vijana msioe muinjoi maisha huku Ndoani kuna vimambo mambo vya Ajabu sana

    Sio wasioe, ila wasiwahi kuoa.. Kuoa mapema ni janga linalotumaliza vijana emotionally
Back
Top Bottom