Sikubaliani na wewe, ACT Wazalendo ni chama halisi cha upinzani dhidi ya CCM kabisa, usitake kupumbaza watu kwa propaganda zako zisikokuwa na msingi wowote.
Labda useme kuwa wewe ACT Wazalendo, hukipendi kwa sababu zako. Twambie hivyo.
Ushauri au rai ya mtoa MADA ina mashiko sana na CHADEMA...
Samia hawezi kushinda labda kwa maguvu, amefanya uovu mwingi kwa Watanganyika, amewagawa kwa lengo la kuwatawala kirahisi.
Amewatesa kwa kuwapiga na kuwavunja miguu achilia mbali kuwabambikizia kesi, lkn amekuwa akiwateka, kuwapoteza na kuwauwa.
Tangu Tanganyika ipate uhuru 1961 Marais wote...
Wakati Kikwete akiwa Mwenyekiti wa CCM, huyu jamaa akiwa Mwenyekiti wa UVCCM alikumbwa na kashfa mbaya sana ya kufoji umri, alijifanya kijana na kuweza kushika nafasi hiyo.
Ingawa aliondolewa kabla ya miaka mitano kwa 'pressure' ya vijana wa CCM na maneno makali ya Kikwete.
Aliposhtukiziwa...
Huyu Bibi ni Mzambia, alikuja Zanzibar miaka ya mwanzo 1980 aliolewa na David Castico pale Kwa-Ali-Natu. Jambo la ajabu mwaka 2020 aliingia katika kinyang'anyiro cha kugombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM. Siku hizi amepotea haonekani..
kwa hivyo huyu jina lake la asili ni Mary Herman (Mariam Mwinyi) ni mkristo kama ilivyo kwa mke wa PM Majaliwa ambaye naye ni mkristo
hapo ndoa ilifungwa kwa dini gani, ilifungwa vipi?
wewe ni muongo mnafiki ni muongo mwizi, 'never ever' London au UK kwa jumla wake ...kuweza kukutana na msafara wa waziri mkuu au kiongozi mwingine wa ngazi hiyo.
lakini, la muhimu ni kukukufahamisha kuwa waziri mkuu wa uingereza, anaongozwa na pikipiki bila kupiga vig'ora na kwa mtumiaji...
upuuzi wake uko wapi hapo? hakumsifu magufuli, anajuwa chanzo cha utawala huu mbovu ni magufuli, lkn bila magufuli samia milele asingeweza kuwa rais tz.
yeye anasema kutokana na matatizo mengi yanayoikabili nchi kwa sasa ni busara wabunge watumie katiba kumuondoa madaralani rais samia, kwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.