Pole dear....kitu rahis sikuizi fungua page lipia ukitangaza hukosi Mteja....unaweza weka tangazo MTU akafanya utani Na biashara Heri uwe Na page yako ulipie shoga
Sielewi sana hapo lakin mwanzo nilikuwa nalipia matangazo kwa wasanii wakubwa mpaka laki moja Kwa wiki....siku nilifunguka kuna Ku kulipia Na kadi yangu ya bank kwa Mr Fb imeniokoa sana mana kwa dollar hata 2 kwa siku unauza poa tu
Wakuu nataka kununua mashine ya cherehani ya kushona ya miguu Na mashine ya overlock....nikauliza duka moja Arusha wakanambia wapo Na za India kwamba ni nzuri...kwasababu mi si mtaalamu mafundi Naomba mnielekeze mashine IPI ni nzuri kwa ushonaji haina usumbufu
Sijamtia pilipili yoyote kama ni ushauri umeandikwa tu mbona kama mawazo ya MTU, sisemei kubuni ata mimi nishafanya biashara hiyo Na naishi Kenya natoa uzoefu ule nipo nao si lazima MTU Achukue unaweza soma Na upite sijakushikia mtutu
Viatu vya kimasai original ni Nairobi mkuu, soko linaitwa "Kariakoo" kama unaenda Islii viatu vizuri hatari bei ya kutupa viatu mpaka 5000 ya Tanzania Na original jipange kuchukua nchi ingine kama mtaji upo vizuri
Hakuna Kilimanjaro huku, ila biashara ya maji zipo kampuni nyingi mno chupa kama ya Kilimanjaro inauzwa 30- sawa Na 600 Tz sasa labda upate mchongo kwenye supermarket kubwa
Embu tusaidiane wadau wanaotoa mizigo Nairobi usafiri kuja Arusha mnatumia UPI? Nimetumia dar ex press kidogo lakini hela zinalipwa nyingi Na saingine mzigo ubaki boda.....mwenye mawasiliano Na hizi "Perfect " najua boss anaitwa zungu ila sinaga Namba mwenye Nazo atusaidie wadau mana vijana...
Lipia na card yako ya bank fb ni rahis na utauza adi uchanganyikiwe ujue tu watu wanataka nini kulingana na vipindi.....Mimi tangu nimejua kulipia huko aku nakula kilain
Weeee usinikumbushe....naishi Nairobi mama yangu akanisumbua sana nimtumie bale za Gauni auze zake Moshi meimoria...huyoo na mvua kikombaa nikaunganishwa na rafik kuna shemeji yake anipeleke kumbe ni dalali uwiii....bale tukauziwa moja 30,000/ ambayo ni 600,000/ ya Tanzania tukanunua 2 then...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.