flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,861
- 6,342
Habarini jukwaa labiashara, niende moja kwa moja kwenye mada, mimi nimejiingiza kwenye biashara yaviatu vyakike vyakimasai nakuna mtu yupo dar huwa ananiagiziaga mzigo huku mkoani. Sasa changamoto ninayokutana nayo niaina yaviatu yaani sample nyingi jamaa yangu hana nanimejaribu kuongea nae inaonesha hana sample zaidi yahizo anazonitengenezeaga. Lengo langu kama kuna mtu humu anafanya hii biashara au anafahamiana nawafanya biashara wabidhaa hii anaweza nisaidia kama sio yeye basi hata mawasiliano yamtu anayefanya biashara hii kwajumla ili anioneshe sample zake nakama tukiafikiana tuanze biashara. Msaada wenu ndugu zanguni