Hili taifa linaitaji uponyaji ukisikiliza hii misongi ya wasanii ni usenge tu yaani wanaimba usenge tu..naangalia TV za hapa tz zinapiga ukuda.haya ndio madhara ya serikali kutuwekea misingi mibov ya elimu kikomo ni std 7 au secondary wanaishia form 2 au 4 wakifeli
Wanaimba ukuda huu na kutoa...
Fanya kitu ile nafsi yako inapenda,,pesa yako ni ndogo. Hyo nyumba itaishia msingi renta na kupaua tu hatimay litabak pagale unakuwa umezika pesa.Nenda show room chukua usafiri hata wa 8mil wenye piston 3 ili ukurahisishie kukusanya zaid hicho kipato then zilizobak save sav and save
Nitangulize pole kwa watumishi wenzangu ambao wameomba mkopo kupitia bank hii kuanzia june 2024 kwasababu nina imani mpaka napoandika uzi huu leo august hawajapewa mikopo hiyo na pesa zao za mishahara zinakatwa. Banc abc mjue mtu anapoomba mkopo ana malengo yake thabiti hajaomba tu kama mchezo...
wabongo tutachelewa sana kimaendeleo Mtu anaomba gheto hajatamka kama anaenda kufanya zinaa nyinyi tayari mmeshamtwisha mzigo wa dhambi sasa yupi kati yenu na huyu muwaza ngono kabla.Watu wana michongo kibao ndugu zangu mjini hapa msikae kiboya mnawaza ngono tu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.