Recent content by noel mahenge

  1. noel mahenge

    Ufafanuzi kuhusu ajira za community healthy program

    Hapna. Ni mkuu wa chuo flan chenye program hii ila Kwa Sasa hayupo nchin
  2. noel mahenge

    Ufafanuzi kuhusu ajira za community healthy program

    Alienambia anadai na yy kaambiwa na mkuu wa chuo alokosoma na kumuona tna hawez mana kasafir so nkaona nlilete kwenu Wana jamii forum pengne nanyi mmesikia
  3. noel mahenge

    Moja ya hatua unazoweza kufuata kwenye kujiandaa kuacha kazi na kujiajiri

    Nashukuru kk npo njian meneno yako tayafanyia kazi
  4. noel mahenge

    Ufafanuzi kuhusu ajira za community healthy program

    Kuna taarifa kua ajira kwa wahitimu wa community healthy program zimetoka lakini wahusika wapo gizani, kwa anae elewa jamani tujuzane.
  5. noel mahenge

    Hata wazungu kutoka nchi mbalimbali za Ulaya wanakimbilia USA

    duh kumb sio ss tu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. noel mahenge

    Ajira mpya za afya 2016/2017

    Usaidizi kidogo wada iv hizi ajira mpya za afya inakuaje kwA tuliomali za mwaka jana mana asili mia kubwa vyeti havijatoka ivo tutafanya vipi apllication Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom