noel mahenge
Member
- Jun 1, 2014
- 6
- 0
Kuna taarifa kua ajira kwa wahitimu wa community healthy program zimetoka lakini wahusika wapo gizani, kwa anae elewa jamani tujuzane.
Toa maelezo kamili mkuu, vijana wana njaa sana. Zimetoka wapi maana ajira zote hutangazwa kwa ummaKuna taarifa kua ajira kwa wahitimu wa community healthy program zimetoka lakini wahusika wapo gizani, kwa anae elewa jamani tujuzane.
Hapna. Ni mkuu wa chuo flan chenye program hii ila Kwa Sasa hayupo nchinAliekwambia anaweza kukwambia zaidi
Toa maelezo kamili mkuu, vijana wana njaa sana. Zimetoka wapi maana ajira zote hutangazwa kwa umma