Recent content by Noe mimi

  1. N

    Yaliyojiri katika Uchaguzi wa Udiwani kata 27 na Matokeo - Feb 9, 2014

    ni zaidi ya ukweli bila ulinzi wa kura hakuna cha kujadili wala cha kushinda kwan kunawatu wanajipanga kuiba hivyo ww usipo jipanga kulinda kaz unayo...............
  2. N

    Yaliyojiri Mahakama Kuu: Usikilizwaji wa UAMUZI wa pingamizi la Zitto dhidi ya CC ya CHADEMA

    chap mwend ushaukuwa unajieba beba hata ukibaki utafanya azi na nan
  3. N

    Jua haki yako unapokamatwa na Polisi

    wakuu kujua sheria ni jambo la kwanza na kujua vifungu ni kazi ya wanasheria kwani ukitamani kujua au kukariri ndg haiwezekani.. Zaidi tutembelee sheria ya makosa ya jinai na taratibu zake. (Penal Code na Criminal Procedure)
  4. N

    Testing for validity and invalidity

    The determination of the truth value of statements it's an easy step to apply that knowledge to the testing of deductive arguments for validity or invalidity. In a validity argument, if all its premises are true then its conclusion must be true; or alternatively, in a valid argument, it is...
  5. N

    Wanaojua ni wahusika wa vitendo hivyo

    Naomba nieleweke katika mtizamo huu: Dr. Ulimboka, mimi nahisi kaambiwa nyamaza kwani alisema anawajua, anajua aliyechukua wallet na simu, na amewatambua waliohusika na mengi alisema atasema lakini hakusema..... Dr. Mwakiembe, naye alisema anajua nini chanzo cha sumu, anajua nani wametumwa na...
  6. N

    Mrithi wa Makinda huyu hapa

    vema kijana na itapendeza sana big up dada
  7. N

    Benjamin Mkapa: Watanzania mtanikumbuka

    kwa kuwa alifanya ya msing na mazur kweli tutamkumbuka na tunamkumbuka
  8. N

    MKAPA: Rais pekee aliyekataa kwao na asilia yake

    sidhi kama ni akili au matope kusema huku kwetu na kule kwao sisi ni watanzania tufanye kudumisha utanzania. Gesi ni ya watanzania sio ya wadar es salam wala ya wa arusha wala wamtwara hvyo iwanufaishe watanzania wote wa ujumla wake....
  9. N

    Tuhuma za Ufisadi dhidi ya Diwani Janeth Rite (Kunduchi-CHADEMA), Ushahidi huu hapa...!

    chama ni cha wanachama viongozi ni watekelezaji wa sera tu hutak kutekeleza malizia muda wako
Back
Top Bottom