Recent content by Noche

  1. Noche

    JamiiForums Tanzania Waache Ufyatu: Haiwezekani CHADEMA Iwaume Zaidi

    Inashangaza sana yani viongozi wanatumia mbinu za ovyo kupambana na watu wanaopigania haki na maendeleo ya kweli.
  2. Noche

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Heche Ahojiwe, Hakuna Kinga kwa Ufisadi

    Nyie vilaza tumieni akili kupambana na chadema na sio propaganda za kizushi hazitafanikiwa kamwe nyakati hizi za teknolojia.
  3. Noche

    JamiiForums Tanzania Tuhuma za ufisadi zimepunguza kasi ya uropokaji wa makamu mwenyekiti wa chadema taifa.

    Daah!,unapata pesa ya kulisha familia kwa shida sana jamaa,kila siku uzushi,uongo na chuki kuhusu chadema.
  4. Noche

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Kwa hiyo uzalendo ni kuteka na kuuwa wananchi wako?.Acheni ujinga wenu nyakati zimebadilika.
  5. Noche

    JamiiForums Tanzania Kumkamata Mwalimu aliyeuliza "Hello Mheshimiwa IGP Tanzania mbona hamsemi chochote kuhusu hili kundi" ni kielelezo hii nchi imeharibika kwa kiasi gani

    Wanadumisha amani kwa sheria na taratibu zipi.Ficheni ujinga wenu nyakati zimebadilika.
  6. Noche

    JamiiForums Tanzania Hivi haiwezekani John Heche akatetewa na wafuasi wake bila matusi mitandaoni?

    We hanisi sana,Vilaza wanafisadi pesa nyingi za umma mpo kimya,kazi kukomaa na chama kilichokufa.
  7. Noche

    JamiiForums Tanzania Rais Samia usihangaike na maridhiano, hawa hawakutaki tu kwa sababu zao

    Kwahiyo apoteze kodi(pesa) zetu kwenye mambo ya anasa na kuzifisadi kuliko kuandika katiba mpya yenye misingi imara ya uongozi.Nyie vilaza tu mmepata hayo madaraka kwa bahati lakini hamna uwezo wa kuongoza hii nchi.
  8. Noche

    JamiiForums Tanzania Huenda changamoto nyingine kubwa ndani ya CHADEMA ni Katibu Mkuu wake kupwaya kwenye nafasi yake kama mtendaji

    We una hoja gani kwa mfano zaidi ya uchawa tu.
  9. Noche

    JamiiForums Tanzania Lema: Uchawa unafanya wanaosema ukweli waonekane maadui

    Kila dk cdm huku mnasema kishakufa.
  10. Noche

    JamiiForums Tanzania Wanasiasa waliopoteza uelekeo, wanadhani mihemko yao, matusi, uropokaji na uzushi wa wafuasi wao vinaweza kuleta mabadiliko ya kisiasa nchini.

    Tunataka tuwadhibiti wezi wa rasilmali na watekaji na wauaji wa raia kama wameshindwa kudhibitiwa na serikali.
  11. Noche

    JamiiForums Tanzania Maono: Baada ya hayo yote, akiondoka ataichoma nchi

    Aibu kubwa sana kwa mamlaka aisee.
  12. Noche

    JamiiForums Tanzania Well done JWTZ kwa kuwaondolea wananchi mashaka ya kiusalama na kuwahakikishia Amani na Utulivu wa kudumu waTanzania wote.

    Vichaa ni hawo(JWTZ) wanaopaswa kulinda rasilimali za nchi na wananchi lakini wanashindwa kuwadhibiti mafisadi na watekaji.
  13. Noche

    JamiiForums Tanzania 7/7 Tuchague kujenga badala ya kubomoa

    Kulikuwa kuna ugumu gani wa kufanya maridhiano kabda ya uchaguzi wa kiuni.Nyakati hizi siyo za kufanya uhuni kwenye chaguzi ili tupate viongozi watakaopeleka nchi mbele. Watumishi wa chini tunapambana kujenga taifa nyie wa juu mnatuletea uhuni.Acheni uhuni kwenye maisha ya watu.Raia wachague...
  14. Noche

    JamiiForums Tanzania JWTZ mmesikia na sauti iko sawa kabisa, kazi kwenu

    Mkiambiwa ukweli mnasema chuki,yani watu wanaiba rasilimali za nchi,wanateka na kuuwa raia,huku bado kodi mnatukamua afu mnategemea wanaume wenzenu wawalinde si uchizi huwo.
Back
Top Bottom