Kwahiyo apoteze kodi(pesa) zetu kwenye mambo ya anasa na kuzifisadi kuliko kuandika katiba mpya yenye misingi imara ya uongozi.Nyie vilaza tu mmepata hayo madaraka kwa bahati lakini hamna uwezo wa kuongoza hii nchi.
Kulikuwa kuna ugumu gani wa kufanya maridhiano kabda ya uchaguzi wa kiuni.Nyakati hizi siyo za kufanya uhuni kwenye chaguzi ili tupate viongozi watakaopeleka nchi mbele.
Watumishi wa chini tunapambana kujenga taifa nyie wa juu mnatuletea uhuni.Acheni uhuni kwenye maisha ya watu.Raia wachague...
Mkiambiwa ukweli mnasema chuki,yani watu wanaiba rasilimali za nchi,wanateka na kuuwa raia,huku bado kodi mnatukamua afu mnategemea wanaume wenzenu wawalinde si uchizi huwo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.