Recent content by Noche

  1. Noche

    JamiiForums Tanzania Lisu alisema watakinukisha, kwani akikinukisha kikanuka watafanywa nini? Tunauliza mahakama huyo ndie chanzo cha yote, kwani mkimfunga atafanya nini?

    Bwabwa ww utaishia kubweka tu,hamna cha kumfanya zaidi ya kumpotezea muda.
  2. Noche

    JamiiForums Tanzania Lisu alisema watakinukisha, kwani akikinukisha kikanuka watafanywa nini? Tunauliza mahakama huyo ndie chanzo cha yote, kwani mkimfunga atafanya nini?

    We chawa tu huna lolote la kumfanya Lissu zaidi ya kubweka kama mbwa koko.Mmeshindwa kuwafunga mafisadi na wauaji mtamweza Lissu.
  3. Noche

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Leo Mahakamani 03 September, Shahidi wa tatu Aman Sam Golugwa anaendelea kutoa ushahidi wake

    Kwanini msiifanyie mabadiliko hiyo tume toka enzi hinzo.Mshazooea uwizi nyie.
  4. Noche

    JamiiForums Tanzania Lissu: Nipo tayari kukaa gerezani mpaka haki itakapopatikana

    Dah!,kazi kweli unajivunia umaskini.
  5. Noche

    JamiiForums Tanzania Lissu: Nipo tayari kukaa gerezani mpaka haki itakapopatikana

    Haki ndiyo msingi.
  6. Noche

    JamiiForums Tanzania Huwezi kutaka katiba itakayodogosha ukubwa wa mamlaka...hapo hakutakuwa na Taifa moja

    Acheni kujifanya vipofu,nyakati za mabadiliko hizi lazima katiba ibadilishwe kuwabana viongozi wezi ili rasilimali zitunufaishe raia wote na sio wachache.
  7. Noche

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Ilifanya Uchaguzi Wa Mwenyekiti Chama Kikapasuka na Kusambaratika . Halafu Utaona Wanabetua Midomo wanasema Wanaweza Kuongoza Nchi.

    We chawa achana na CDM chama cha haki hicho,nenda kachambishe chakula abdli
  8. Noche

    JamiiForums Tanzania Kiti Cha Urais Ndicho Kinacholindwa Kwa Jasho Na Damu Maana Ndio Nchi Yenyewe. Ukileta Ujuaji, Usaliti, Hujuma na undumila Kuwili Utajutaa Kuzaliwa

    Ndiyo mana hamtaki kubadilisha katiba,sheria gani za kipumbavu watu m 70+ afu mtu 1 tu ndyo kila kitu.
  9. Noche

    JamiiForums Tanzania CCM Fahamuni kabisa: Kilichofanywa na Asha Rose Migiro ni uhaini na atakilipia

    Kwa washauri aina ya bashite unategemea nini zaidi ya mauzauza.
  10. Noche

    JamiiForums Tanzania Mheshiwa Lissu kajitetea vibaya kwenye kipengele cha heshima kubwa aliyonayo kimataifa

    Msijitoe akili,uchaguzi au wizi wa kura.Nyie ndiyo mnastahiri kunyongwa kwa mauaji ya raia.
  11. Noche

    JamiiForums Tanzania Namtafuta Lukas Mwanshambwa na wenzake

    Wako chini ya ulinzi hawo hawaruhusiwi kuandika chochote kwa sasa.
  12. Noche

    JamiiForums Tanzania Unadhani ni kwanini mtuhumiwa anaonyesha kukata tamaa kuanzia mwanzoni tu mwa kujitetea kwake?

    We endelea kujitoa akili.
Back
Top Bottom