Recent content by NOBU

  1. N

    Jenerali Ulimwengu: Huu ndio mwanzo wa kifo cha CCM kilichobashiriwa?

    Tafadhali Mifano ya Mrema, Slaa na wengineokwenda upinzani hai apply moja kwa moja kwa kuwa nguvu zao hao zilikuwa kwaWATU: WA KATI, AU WA CHINI AU WAPENDA MAENDELEO YENYE UADILIFU kwa ajili yamambo waliyosimamia. Sikumbuki kama Mrema alikuwa na nguvu katika kada za juukisiasa ndani ya CCM...
  2. N

    Sikubaliani na hoja ya Lowassa Kujiengua CCM na Kujiunga CHADEMA/UKAWA

    Nguvuya kisiasa ni misingi anayosimamia kiongozi na dira yake, na siyo nguvu yakutwaa dola. Tanzania ya leo siyo rahisi kupindua, kupindua ni kubaya lakinikuaminisha watu kuwa bora kuiondoa serikali bila dira, ni sawa na kupindua.Alifanyahivyo Idd Amin, Hitler na wengine wengi. Matokeo yake...
  3. N

    The most efficient Governments

    Efficiency au ufanisi ni uwianowa matokeo kwa matumizi. Yanapimwa kwa asilimia, desimali au namba kutegemeanaupendavyo. Mwenye matokeo makubwa na matumizi madogo ana uwezo wakuwa juukwenye hicho kigezo.UFANISI HAUHUSIANI NA UKUBWA WAUCHUMI WALA UTAJIRI AU UMASIKINI BALI MAARIFA NA MAADILI KAMA...
  4. N

    The most efficient Governments

    Efficiency au ufanisi ni uwianowa matokeo kwa matumizi. Yanapimwa kwa asilimia, desimali au namba kutegemeanaupendavyo. Mwenye matokeo makubwa na matumizi madogo ana uwezo wakuwa juukwenye hicho kigezo.UFANISI HAUHUSIANI NA UKUBWA WAUCHUMI WALA UTAJIRI AU UMASIKINI BALI MAARIFA NA MAADILI KAMA...
  5. N

    Huu mseto ungeifaa sana Tanzania

    m Hiyo ni kweli lakini lazima raisi ajaye afanye kipindi cha mpito kuhusu katiba na maadili kwani wagombea 38 CCM na hata matatizo madogo/makubwa kwenye upinzani na UKAWA vinaonyesha tatizo la msingi kitaifa hasa dhana potofu kuhusu uongozi,madaraka na fedha.
  6. N

    CCM yakiri waziwazi nguvu kubwa ya upinzani

    Magufuli anaweza ku coordinate effective implementation ya yaliyopangwa, urais ni Zaidi ya sifa hiyo.
  7. N

    Beki bora wa Tanzania miaka ya nyuma ni nani?

    Mabeki bora simba; Shaaban Baraza, Shaaban Baraza(1972-1975),Mohamed Kajole( 1971…-1980),Arthur Mambeta ….1973, Omari Chogo(1972-1975), Aloo Mwitu 1974-198….,AthumaniJuma 1974-198…,TALL 1975 -1978/9, Daudi Salum(Bruce Lee) 1976-1980, Deo Njohole……1989……wenginena yanga nitaendelea baadaye Mabeki...
  8. N

    Viungo Bora Zaidi Kwenye Soka

    China alikuwa mzuri bali GAGA ni level nyingine (JUU) nafikiri alikuwa hawezi beki 3 NA golini tu. Hiyo china alikuwa kiboko yake ni WAKATI GAGA akicheza kinazi: pesa ya GULAMALI Franz BacKenbeur West Germany Gilbert Mahinya SIMBA SC , KISHA YANGA Halid Abeid SIMBA Nico Njohole...
  9. N

    Tetesi:sasa wachezaji wa kigeni kua 7! msimu ujao!!!

    TFF, Wizara ya elimu na wizarainayoshughulikia michezo wakitaka kuelewa madhira yanayoipata michezo yetuwafanye utafiti ambao inabidi uhusisheuchunguzi wa mwenendo na maendeleo ya michezo yetu kabla na baada ya uhuru, halafu baada yauhuru, mabadiliko ya mifumo na sera za uchumi kuanzia Ujamaa...
Back
Top Bottom