Recent content by Noah FELIX

  1. Noah FELIX

    Mambo bado mazito majadiliano ya makinikia,Barrick yaongeza wajumbe kukabiliana na hoja za upande wa Tanzania

    Wazungu nao ni binadamu, usidhani kwamba team ya Tanzania haijajipanga. Wao hata wamlete nani, kama kweli wana hatia itabaki tu. Kwenye negotiation kinacho matter si idadi ya watu bali substance ya negotiation.
  2. Noah FELIX

    Kwanini Dereva wa Lissu akimbizwe Nairobi?

    Hapo hujamjibu mwenzako. Umehemka tu, hakuna maneno ya msingi uliyoyaandika. Tukio limetokea, na shuhuda aliyekuwepo ni dereva wa Lissu. Alipaswa aende polisi na kueleza namna tukio lilivyotokea. Tatizo watu mnajifanya mnajua wakati hamjui chochote. Itoshe kusema dereva anapaswa aende polisi. Na...
  3. Noah FELIX

    Uhuru Kenyatta wewe ndiye mshindi

    I initially thought the way you do. But am no longer thinking this way anymore. Kenyatta thought that the judges could have maintained the status quo. Going about his recent pronouncements about fixing the court, I can hear his regrets. That said, I don't believe Kenyatta is democratic the way I...
  4. Noah FELIX

    Hakuna nchi iliyowahi kusonga mbele kwa kukandamiza Demokrasia

    Hivi wazungu walipowauza na kuwatumikisha babu zetu katika mashamba yao ile ilikuwa demokrasia? Na ni nchi gani iliyoendelea kwa kuruhusu watu wake wafanye wanayotaka hata kama ni ya kijinga?
  5. Noah FELIX

    Sumaye afunguka suala la familia yake kunyang'anywa mashamba mawili!

    Sumaye anapaswa awashauri wanafamilia wake walionyang'anywa mashamba na serikali waende mahakamani. Kuwaita waandishi wa habari sidhani kama itasaidia sana. Hata hivyo, inavyoonekana mashamba hayo ni yake na si ya wanafamilia wake. Kimsingi sioni sababu ya yeye kulalamika, aende mahakamani...
  6. Noah FELIX

    ACACIA: Hatujafikia makubaliano yoyote ya kuilipa Tanzania

    Mimi nilifikiri wanaipeleka Tanzania mahakamani kama mwanasheria wenu nguli alivyokuwa akidai. Sijui MIGA na takataka zingine. Nashangaa wanasema watajadiliana na serikali. Hawa wanasheria wasio na nidhamu na wanaoongea kwa kukurupuka wanapaswa wabadilike. Sasa watapolipa hela wanayodaiwa na...
  7. Noah FELIX

    Nashangazwa na kauli hizi za wabunge wa CCM

    Na wanakimbilia huko CHADEMA ndo pamebaki kuwa salama kwa mafisadi, waongo na wazembe. CCM siyo salama tena kwa mafisadi. Leo hii kila anayetumbuliwa CCM anakimbilia CHADEMA. Siku hizi wanaCHADEMA wanachojua ni matusi, kuropoka na kupokea na kutetea wezi tu. Na mnampa wakati mgumu sana katibu...
  8. Noah FELIX

    Nashangazwa na kauli hizi za wabunge wa CCM

    Mikataba mibovu haiwapi wanaCHADEMA chance ya kuwatetea wezi kama mnavyofanya kwa sasa. JPM anachukua hatua, halafu eti CHADEMA wanawatetea wezi ili waendelee kutuibia.
  9. Noah FELIX

    Nashangazwa na kauli hizi za wabunge wa CCM

    Tundu Lissu wenu ndo anatetea mikataba mibovu. JPM anachukua hatua, lakini wanaCHADEMA wakiongozwa na mwanasheria wao hawataki rais achukue hatua. Report ya pili inatoka kesho, tusubiri. JPM ananyoosha kweli kweli. CHADEMA mtabaki kutetea wezi maana chama chenu kwa sasa kimesheheni wezi. CCM...
  10. Noah FELIX

    Nashangazwa na kauli hizi za wabunge wa CCM

    Ataanza kuwakamata viongozi wako wa CHADEMA wanaowatetea wezi ili waseme wana ubia gani na hao wezi
  11. Noah FELIX

    Nashangazwa na kauli hizi za wabunge wa CCM

    Bora CCM maana CHADEMA kwa mwendo mnaoenda nao hata kabla ya kukamata dola, mkikamata dola mtaiuza kabisa hii nchi
  12. Noah FELIX

    Nashangazwa na kauli hizi za wabunge wa CCM

    CHADEMA wanachekesha sana. Wao wanadhani kupinga kila kitu ndo upinzani.
  13. Noah FELIX

    Nashangazwa na kauli hizi za wabunge wa CCM

    Hahaha, Sumaye na Lowassa kweli walifungwa midomo wakiwa CCM.
  14. Noah FELIX

    Nashangazwa na kauli hizi za wabunge wa CCM

    Tena bora CCM, ingekuwa CHADEMA kwa mambo wanayoyafanya hata kabla hawajapata dola, wakipata dola wataiuza kabisa hii nchi. Hata hivyo, wameanza kuumbuka kwa matendo yao. Na watu wanaona. Kufika ikulu ni ndoto ya mchana kwa CHADEMA
Back
Top Bottom