Usishangae, tangu awamu hii imeanza kumekuwepo na ongezeko kubwa sana la kiwango cha ujinga. Ukisoma kwa utulivu press release ya Sumaye, unaweza kubaini kuwa nchi hii sasa inaongozwa kwa chuki kubwa sana. Na ukweli ni kwamba taifa hili linaandaliwa kuingia katika machafuko huku wajinga wakishangilia!Tumeacha mambo ya msingi aliyosema na kumsakama mtu. Ameeleza hatua kwa hatua ya kilichotokea na pia suala la utawala bora. Hatugusi issues zilizomo tuna attack personalities what kind of people! Ule msemo wa kifalsafa unaosema simple minds zinadiscuss watu unadhihiri. I am Sorry!
Kuna wengi wamekutwa na makubwa hawasemi na orodha inaongezeka ninajua marafiki zangu walioUmia kupitia huu mtindo tunaoendelea nao na kuushabikia. MUNGU ATUNUSURU