Mkumba Vana tumetoka hospital saa sita mchana, na period imeonekana jion hii, bt alikua hahisi dalili za period pia hajahis maumivu yeyote. NB: 2lienda AGAKHAN
Mkumba Vana tumetoka hospital saa sita mchana, na period imeonekana jion hii, bt alikua hahisi dalili za period pia hajahis maumivu yeyote. NB: 2lienda AGAKHAN
Hi! Jf, swali kwa wanajua tu.leo nmempeleka mchumba wangu hospital amepima amekutwa ana mimba ya mwezi mmoja,, bt ameingia period leo, je mtu anaweza kuingia period while yuko mimba ya mwezi mzima? Majibu kwa daktar 2mechukua wote.
Nawasilisha.
Naona BRN imeanza kufanya kazi, mwezi mmoja matokeo tayari! Hiyo machine imesaidia xana, swali kwa anaejua, kuanzia grade ipi ndo watachaguliwa kujiunga masomo ya kidato cha kwanza? Maana hajaweka marks ni grade tu.
ww M.E.M.A kwa hiyo m2 akikufariji kwa matatizo ulopata haina maana? Bt aki2ma hela kwa Mpesa hapo ndo kakujali!!? Nina mijibwa yangu miwili nikiku2mia pesa kadhaa naamini mbwa wangu wataenjoy K pamoja na 0713 yako, coz ur prefer money to human dignity. daa! Umaskini ni ki2 kibaya xana.
Sifa za wanawake wa kiraq, wanaongea, wanacheka, wanalia,wanakula, wanatembea, wanasimama, wanalala, wanakimbia, wanaoga, digestion inatake place kama viumbe hai wengine pia wana milango 5 ya fahamu kama viumbe wengine nk.
Jamani kwa nn wanawake wanaongoza kwa roho mbaya!?? Just ugali only unaleta JF!!? Mara ooo atanichukulia mume wangu hujiamini? Hayo umeamua kuongezea tu bt da major issue ni ugali (mavi), yaani ww ukikabidhiwa mtoto ambae huna undugu ndani ya mwezi waweza mlisha sumu ili asikuharibie budget Lol...
Ww ulimshauri nini? jamaa kua msomi haimaanisha ana akili ya kuzaliwa nayo hiyo ni ya darasani tu, hivo watoto hawawez kurith akili ya darasani ok! Tambua hivi vi2 viwili yaani NATURE & NURTURE, ww na huyo jamaa yako unaemwita msomi wote ni maambulula
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.