Recent content by nntugwa

  1. N

    JamiiForums Tanzania Kuna njia yoyote ya kusaidia kupata Mimba ya Watoto Mapacha?

    Jaman mke wngu ni zaida ya miaka mitano tunatafuta #mtoto lakn wapi! Nimeenda hospital mblmbl kama Agha khan, Aman, General dodoma na Upendo zote za dodoma lakn sion matunda yke, imêfikia kpindi mpka nilianza kwnda kwa waganga wa miti shamba lakn huko nako hakujanisaidia, naomben ushaur au tiba...
  2. N

    JamiiForums Tanzania Jamiiforums' EXCLUSIVE interview: Ana kwa ana na Balozi Khamis Kagasheki (Shiriki kwa kutoa Maswali)

    Mheshimiwa naomba utueleze ni kwanini wizara ya mali asili na utalii ina misukosuko haswa awamu hii ya nne ya dkt. Kikwete? Rejea aliyofanya Maige na sasa Nyalandu, Je unadhani ni sahihi inavyoendeshwa wizara hii?
  3. N

    JamiiForums Tanzania Mishahara Jeshini, inatolewa kwa kuangalia umri wa kazi au Cheo cha Askari?

    Kuna mamb mengine n vgumu kuyajadl, kujadl mshahara wa mjeda ni sawa na kuweka hadharani mapungufu ya mkeo wa zaman
  4. N

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Matibabu kutoka kwa Mwajiri

    Ivi sheria inazungumziaje kuhusu ongezeko la mshahara kwa mwaka haswa sekta binafsi? Nasema hvyo kwa 7bu mpka sasa kuna mgogoro wa chnchn kat ya (NUMET) chama cha wafanyaz na mgodi! Naombwa kufahamishwa
  5. N

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Matibabu kutoka kwa Mwajiri

    Ni kwl, mimi nipo acacia northmara gold mine ,mwajr wetu hutupatia hutuma ya matibabu lakn hmu ndam kuna kampuni za kizawa hazitoi favor ya matibabu.
  6. N

    JamiiForums Tanzania Nini kifanyike watoto wetu wapate malezi ya pande mbili?

    Haipndez ila acha tupumbazwe na utandawaz wa kiwendawazimu huu
  7. N

    JamiiForums Tanzania Ujasiri wa mwanaume upo kwenye 'maumbile' yake

    Ni shidaa
Back
Top Bottom