Recent content by nnaleke3

  1. nnaleke3

    Walimu wa Tanzania ndio maana wanadharauliwa na kila mtu

    Kwahiyo we ulitaka walau walipwe sh ngapi ktk kila daraja ulilitaja hapo juu?
  2. nnaleke3

    Nipe sababu tatu unapenda kuishi ukanda gani mwa Tanzania?

    Mzee baba umechambua vizuri sana,,sema pale ndanda ni kama ujerumani mwanangu yaani kule water source ni kama ardhi iliyomegwa kutoka ujerumani na kuwekwa pale 😂😂😂
  3. nnaleke3

    Mtazamo juu ya vijana wa sasa

    Kwa hiyo una maanisha machizi watakuwa wengi mno 😀😀😀
  4. nnaleke3

    Walimu jizuieni acheni kuwa ombaomba! Mnatia aibu

    Ungemalizia kwa kusema mbwa wewe 😃😃😃😃
  5. nnaleke3

    Serikali ipige marufuku utazamaji wa tamthlia hapa nchini

    Hahahaha,,kitumbikwela napajua sana
  6. nnaleke3

    Rais Samia: Wanaume wa Kiislamu huwa hawamalizi 'aya' ruksa ya kuoa wake wanne

    Mhh nafikir magu alimzidi mama ktk jokes za mpenzi hadi alitaka kumuzesha mama take hahahahaa
  7. nnaleke3

    Sisi Migambo pia tuheshimiwe. Naona kama tunatengwa sana

    ni kweli mgambo ni sehemu ya jeshi tena siku hizi mnaitwa jeshi la akiba serikali kama imeshindwa kuwalipa posho au mishahara basi hata nauli ingekuwa imetoa tamko kama kwa askari wa majeshi mengine kwamba msilipe nauli kwa sababu kuna baadhi ya maeneo mnamchango mkubwa sana wa kuleta amani na...
  8. nnaleke3

    Ndugai na Dkt. Bashiru wamethibitisha kuwa Tanzania hakuna Demokrasia wala uhuru wa kutoa maoni

    mkuu bashiru yuko sahihi kwa analolisema shida yangu ni kwanini aseme wakati huu mbona hakusema wakati wa magufuli alikuwa anaogopa nini na yeye ndo alikuwa kiongozi wa waliokuwa wanashukuru na kupongeza na makiki kibao katika vyombo vyote vya habari sasa maswali kipindi kile hakuyaona haya? au...
  9. nnaleke3

    Ndugai na Dkt. Bashiru wamethibitisha kuwa Tanzania hakuna Demokrasia wala uhuru wa kutoa maoni

    safi kabisa naungana na wewe katika hili,,,bashiru ndo muasisi wa haya mambo ya kutukuzana na kusifiana pasipo sababu sasa hivi njaa inamnyemelea anaanza kulalama,,,avune alichopanda
  10. nnaleke3

    UVCCM kabla ya kukurupuka Kumshambulia Dk. Bashiru Ali mliipitia hii Kauli ya Boss wenu Kinana?

    Mimi Naona kama bashiru na yeye anazingua kwa sababu juzi tu hapa enzi za hayati magufuli bashiru ndo alikuwa kinara na meneja mapambio kwa Mh. Rais. Na pia alikuwa anasifia hata pasipo stahili kusifiwa, hapo ndipo watu tunaanza kuwa na mashaka nae huyu mtu alikuwa anataka na kitu gani...
  11. nnaleke3

    Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu

    kwa hiyo boda akisev hiyo pesa anaweza nunua pkpk 3 walau kwa mwaka? hahaahahaa,,,bodaboda siku hizi ni nyingi mno 15k inapatikana kwa shida na kama ingekuwa kweli wanapata 50k per day nafikiri kusingekuwa na tatizo la ajira tz na Africa kwa ujumla
  12. nnaleke3

    Miaka inavyozidi kusonga ndivyo waafrika wanazidi kuwa wapumbavu

    hahahahahaa watu wa mjini bhana,,,leo mmekosa maji ndo mnalalaama si wenzenu huku bush ndo maisha yetu hayo kwa hiyo endeleeni kuonja joto la jua ila mjue na sisi ndo tuko ivo
Back
Top Bottom