Ya Lindi ni mbali. Mimi nimepanda basi njia zote 2 na kuendesha private njia hizo zote. Ya Lindi ni mbali lakini unawahi kufika kwa sababu hakuna msongamano wa magari na hakuna milima mikubwa. Ya Iringa magari ni mengi na milimi mikubwa, kitonga na Lukumburu
Hapa kuna tatizo. Tafuta ndugu zake wamchukue. Hatujui siku ya kufa, lakini ghafla amefia hapo kwako unaweza kupata changamoto ya kuhusika na upelelezi
Hii siyo kweli. Kama siyo wanapanda vituo vya mbele basi wamechelewa. Kwa sababu ukifanya booking inatoa muda wa kulipia. Ni chini ya dakika 50 kama sikosei
Mkuu. Kufunguka hivi ni tiba tosha kuliko angekaa na jambo moyoni. Bottom line ni kuwa hayuko peke yake mwenye changamoto kwenye maisha ingawa hajaweka wazi aina ya changamoto anayopitia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.