Tunapoongelea headed papers maana yake ni kwamba karatasi za kuandikia nyaraka za ofisi huwekewa nembo au jina la ofisi husika mapema. Kwa kesi hii ni TRA. Na mwaka unaooneshwa hapo, 2008, ni mwaka wa TRA kupewa ithibati na Shirika la viwango la Kimataifa -- ISO, na namba ya utambuzi ni hiyo...
Ulilolianza mwenyewe limalize mwenyewe!
Kwanza ufreemason hauna lolote la ajabu na pete ni chuma tu kama vyuma vingine. Hakuna lolote la maana la kuhangaisha watu wenye akili sahihi
MMOJA, Utapeli wa wazi huu. Mwenye akili hujiuliza iweje rupia ambayo hata mtoto mdogo aliweza kuishika kwenda nayo dukani itengenezwe kwa madini yenye thamani kubwa kuliko rupia yenyewe ilichoweza kukinunua dukani! Wajinga ndio.........?
Ujinga ule ule wa Watanzania kama walivyotapeliwa na babu wa Lololiondo. Mimi SMS kama hizo nimepata nyingi na nawajibu 'pumbavu, nenda kalime upate pesa' hawarudii kunitumia tena upuuzi wao
Katika nchi za wanaojitambua huyu mzee angekuwa amewekwa ndani siku ya pili tu baada ya kuanza kunywesha watu kikombe. Badala yake viongozi wetu wakawa wa kwanza kukimbilia huko! What an unbelievable shame! Ni dawa gani inatolewa kwa msimu mmoja tu? Mbona antibiotics zilitolewa tangu enzi na...
Hajakosea, black mamba ni koboko na puff adder ni kifutu. Na ni kweli amepata jina la black mamba kwa sababu kinywa chake ni cheusi. Ngozi yake ni kijivujivu sio nyeusi
Kwa kuwa sasa wa sekondari wamepelekwa msingi nawashauri walimu wa sekondari wasio na ajira waombe nafasi hizi za msingi na hakika wataajiriwa wote watakaoomba kwa kuwa wana elimu ya juu zaidi kuliko wale waliosomea kufundisha shule za msingi, ikizingatiwa sasa ni halali kabisa wa sekondari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.