yaani sasa chadema kwa kumuondoa zitto,inaonyesha kuwa ni chama makini,hakina kukubebeana maovu kama ccm ,na yoyote atakaye jihusisha uovu wa aina yoyote tutamtoa tuuu maana hamna jinsi
nikweli taifa linamhitaji kama kijana,ila uzalendo umemshinda baada ya kudangaywa na kutamani ufisad wa ccm bali taifa linahitaji wazalendo wenye msimamo siyo tamaa
kwa huyo anesema chadema ni kina ukabila na ubaguzi atuonyeshe,cha kunishangaza upewa akili ya kutafakari ndio maana umetofautishwa na mbuzi pamoja na wanyama wengine jitahidi kuchambua uone na sio kusikiliza maneno yakizushi ya napee
huu ndio muanguko na kusambaratika kwa mnara wa babeli,na vigumu wao kuzungumza lugha ya umoja,kwa heri ccm kwa miaka kuwageza watz mtaji,umaskini,ufisadi na sera za udanganyifu
jamani watanzania wenzangu tujitahid kukumbuka na kutafakari la ya richmond na tusisikilize kelele za wanasiasa,anachukukizwa na lipi ambalo yeye hakulifanya?kelele hizo ni harakat za kuingia ikulu,na kwa ukweli na ikulu yetu ya Tz haina nafasi ya mafisadi tena tumechoshwaaaaaaa,
jamani ccm nailinganisha na mnara wa babeli kwamba wamefika mahali wamejesahau ikulu imegeuzwa ghetto la masela ,kipindi cha kuporomoka kimefika ,kukijenga mpaka kizazi hao mnaowaona kipote kitawagharim siyo chini ya miaka mia ijayo,na kashfa zote ndizo dalili za maut ya ccm
jamani tuacheni ushabiki zitto kwa mtu anaye mfahamu vizuri kwanza cdm wamechelewa kumtimua,alikuwa anang'ata na kupuliza,kwa kuondoka naamini CDM chama cha wanaarakati,hakuna kubebana kwa maovu,Mungu ibariki Chadema,Mungu Tanzaniaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.