Recent content by nkwila

  1. N

    Nauza Eneo la Heka Moja Mlandizi

    Bro nahitaji km vipi ni pm ili nikapaone w.nd hii
  2. N

    Natafuta line ya Tigopesa & M-Pesa

    Mm pia ninazo pamoja na flot km vipi nipm
  3. N

    "Mungu nijalie maisha yenye furaha", Kauli ya mchepuko

    Jamani hivi mnawajua wanaume au mnasema tu..yawezekana hata hajasema hivyo labda tu uzazi umegoma mume kachepuka ndio anamwambia mchepuko maneno hayo ili kujustfy
  4. N

    Je, Mungu anaweza kukupa mke mwingine iwapo tayari una ndoa ya Kikristo?

    Bro kuwa makini mimi mwenyewe napitia machungu ya ndoa sana mume wangu ameamua kuoa mke mwingine nimejaribu kufuatilia hawa wachungaji lkn wengine wana mapepo ya utambuzi kuna vitu wanashauri unajua kabisa hapa hakuna mungu ...take care wasikupoteze
  5. N

    Je, Mungu anaweza kukupa mke mwingine iwapo tayari una ndoa ya Kikristo?

    Ww nawe km huamini ni wewe tu mungu yupo anatusaidia hasa
  6. N

    Duka la Dawa Muhimu za Binadamu (Pharmacy): Utaratibu wa Kufuata na Mtaji wa Kuanzisha Biashara

    Kiongozi nami mipo kny harakati za kufungua duka ninaomba km hutojali nipate contact zako unipe muongozo
  7. N

    Wadada wa kazi na visa vyao, nimemtimua wangu jana

    Mbavu sina jina la pili la mgombea ni...pombe
  8. N

    Nauza Meza ya Vioo-Aluminium (showcase) ya Duka/Stationery

    Km unahitaji mm ninayo pamoja na mlango wake mzuri kwa biashara ya saloon ya kisasa au chochote ni pm number tuongee biashara
  9. N

    Biashara: Nasambaza dagaa waliokaangwa

    Hiyo bei ni kwa gm ngapi
  10. N

    Fremu inapangishwa Tandale Dar es salaam, wahi usikose

    Panafaa kuweka phamacy
  11. N

    Bure: Fursa ya mwaka, pima afya yako

    Naomba kujua ni maeneo gani ili nije kupima afya yangu
  12. N

    Line ya Tigo pesa inauzwa

    Bei gan mkuu
  13. N

    Je, wewe ni mwanamke msomi, mrembo

    Samahani sijaelewa hili tangazo nifafanulie
  14. N

    Nauza laini zangu za Tigopesa, M-Pesa na Airtel Money

    mm pia ninazo kama unahitaji ni pm tuongee biashara
Back
Top Bottom