Jamani hivi mnawajua wanaume au mnasema tu..yawezekana hata hajasema hivyo labda tu uzazi umegoma mume kachepuka ndio anamwambia mchepuko maneno hayo ili kujustfy
Bro kuwa makini mimi mwenyewe napitia machungu ya ndoa sana mume wangu ameamua kuoa mke mwingine nimejaribu kufuatilia hawa wachungaji lkn wengine wana mapepo ya utambuzi kuna vitu wanashauri unajua kabisa hapa hakuna mungu ...take care wasikupoteze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.