Habari wakuu,
Nahitaji mfanyakazi wa ndani.
Sehemu ya kazi; Bunju A - Dar es Salaam
Mwenye kuweza kuniunganisha au kunipatia, nitashukuru sana.
Number ya mawasiliano - 0767836872.
Asante.
VODACOM ni wezi sana, jana customer care (100) wananiambia, hela yako itarudi baada ya masaa 24, leo wanasema "kuna tatizo la kiufundi" na hapo ukituma hela imekwenda.
Sasa kama wana matatizo ya kiufundi si wasimamishe hiyo huduma ya MPESA kuliko kuendelea kuiba hela za wateja?
Wanabodi.
Kuna wizi wa pesa unafanywa na Vodacom kupitia huduma yao ya MPESA.
Ukiwa unanunua LUKU, hela kwenye account yako inakatwa lakini TOKEN ya LUKU hupati. Ukijaribu kuwapigia "Customer Care" wanakujibu kwamba kuna tatizo kwenye mfumo wa MPESA, na unapaswa kusubiri kwa muda wa masaa 24...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.