Recent content by Nkuba25

  1. Nkuba25

    Tanker KC-135 Yaanguka huko Iraq-CENTCOM yatangaza!!

    Ndege ya kijeshi inaangukaje kama embe
  2. Nkuba25

    GE2025 Yuko wapi mwamba Samia kwa sasa?

    Hata ungelikuwa wewe ungabakia?
  3. Nkuba25

    Mfanyakazi wa Ndani Anahitajika

    Habari wakuu, Nahitaji mfanyakazi wa ndani. Sehemu ya kazi; Bunju A - Dar es Salaam Mwenye kuweza kuniunganisha au kunipatia, nitashukuru sana. Number ya mawasiliano - 0767836872. Asante.
  4. Nkuba25

    Watu wawili Mbaroni kwa wizi wa Tsh. milioni 105 Dar es Salaam

    Mbona wanasiasa na majizi ya ccm hamyakamati?
  5. Nkuba25

    KERO Je, huu ni wizi? Mpesa hawarudishi pesa inayokatwa baada ya kushindwa kupata huduma

    VODACOM ni wezi sana, jana customer care (100) wananiambia, hela yako itarudi baada ya masaa 24, leo wanasema "kuna tatizo la kiufundi" na hapo ukituma hela imekwenda. Sasa kama wana matatizo ya kiufundi si wasimamishe hiyo huduma ya MPESA kuliko kuendelea kuiba hela za wateja?
  6. Nkuba25

    KERO Je, huu ni wizi? Mpesa hawarudishi pesa inayokatwa baada ya kushindwa kupata huduma

    Wanabodi. Kuna wizi wa pesa unafanywa na Vodacom kupitia huduma yao ya MPESA. Ukiwa unanunua LUKU, hela kwenye account yako inakatwa lakini TOKEN ya LUKU hupati. Ukijaribu kuwapigia "Customer Care" wanakujibu kwamba kuna tatizo kwenye mfumo wa MPESA, na unapaswa kusubiri kwa muda wa masaa 24...
  7. Nkuba25

    Hali mbaya ya barabara Kariakoo Dar

    Mi 5 tena kwa mama.
  8. Nkuba25

    Siasa za fitna haziwezi kuijenga Tanzania, tushikamane na Rais Samia kwa maendeleo

    Ila siasa za kutekana na kuuna ndio zitaijenga Tanzania?
  9. Nkuba25

    Ogopa Sana Mungu na technology

    Mambo ya kishenzi kabisa
Back
Top Bottom