Recent content by Nkuba25

  1. Nkuba25

    JamiiForums Tanzania Kuna kila dalili za mataifa ya ulaya, Korea ya kusini na Japan kuingilia mzozo wa Iran

    Kwa hiyo USA na Israel wapo msibani na ndio maana wanaomba msaada.
  2. Nkuba25

    JamiiForums Tanzania Kuna kila dalili za mataifa ya ulaya, Korea ya kusini na Japan kuingilia mzozo wa Iran

    Kwa hiyo Korea Kusini na Japan ndio wataweza kumpiga Iran? Hapo hapo hao Korea na Japan wanalindwa na USA huko Asia Pacific dhidi ya China. Kweli sikio linataka kuzidi kichwa.
  3. Nkuba25

    JamiiForums Tanzania Vietnam wameanza kunusa harufu ya Mbabe wa Dunia kuanza kuzeeka

    China itaichukua Taiwan bila vita, bila kurusha risasi au bomu. Taiwan itafanya unification na China na kuwa autonomous kama Hong Kong ilivyo na maisha yataendelea.
  4. Nkuba25

    JamiiForums Tanzania Tanker KC-135 Yaanguka huko Iraq-CENTCOM yatangaza!!

    Ndege ya kijeshi inaangukaje kama embe
  5. Nkuba25

    JamiiForums Tanzania GE2025 Yuko wapi mwamba Samia kwa sasa?

    Hata ungelikuwa wewe ungabakia?
  6. Nkuba25

    JamiiForums Tanzania Mfanyakazi wa Ndani Anahitajika

    Habari wakuu, Nahitaji mfanyakazi wa ndani. Sehemu ya kazi; Bunju A - Dar es Salaam Mwenye kuweza kuniunganisha au kunipatia, nitashukuru sana. Number ya mawasiliano - 0767836872. Asante.
  7. Nkuba25

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu: Nikipata Urais nitafanya mabadiliko ya Katiba

    Chama kazi maalum.
  8. Nkuba25

    JamiiForums Tanzania Watu wawili Mbaroni kwa wizi wa Tsh. milioni 105 Dar es Salaam

    Mbona wanasiasa na majizi ya ccm hamyakamati?
  9. Nkuba25

    JamiiForums Tanzania KERO Je, huu ni wizi? Mpesa hawarudishi pesa inayokatwa baada ya kushindwa kupata huduma

    VODACOM ni wezi sana, jana customer care (100) wananiambia, hela yako itarudi baada ya masaa 24, leo wanasema "kuna tatizo la kiufundi" na hapo ukituma hela imekwenda. Sasa kama wana matatizo ya kiufundi si wasimamishe hiyo huduma ya MPESA kuliko kuendelea kuiba hela za wateja?
  10. Nkuba25

    JamiiForums Tanzania KERO Je, huu ni wizi? Mpesa hawarudishi pesa inayokatwa baada ya kushindwa kupata huduma

    Wanabodi. Kuna wizi wa pesa unafanywa na Vodacom kupitia huduma yao ya MPESA. Ukiwa unanunua LUKU, hela kwenye account yako inakatwa lakini TOKEN ya LUKU hupati. Ukijaribu kuwapigia "Customer Care" wanakujibu kwamba kuna tatizo kwenye mfumo wa MPESA, na unapaswa kusubiri kwa muda wa masaa 24...
  11. Nkuba25

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia Kuchukua Fomu ya Urais Mwezi Ujao. Vijana Wajipanga Kumsindikiza Kwa Maandamano Makubwa Yatakayo Itikisa Nchi

    Fomu ya nini tena wakati tayari alishapitishwa na chama?
  12. Nkuba25

    JamiiForums Tanzania Waziri Ndejembi aagiza mjane kukabidhiwa nyumba yake ndani ya siku 14

    No Reforms No Election
  13. Nkuba25

    JamiiForums Tanzania Hali mbaya ya barabara Kariakoo Dar

    Mi 5 tena kwa mama.
Back
Top Bottom