Trump alishasema kwamba wao USA ndio walikuwa wanachochea hayo maandamano na hadi walitoa silaha ili waandamanaji waue polisi.
Kwa hiyo kunyongwa kwao ni sahihi kabisa.
Kwa hiyo Korea Kusini na Japan ndio wataweza kumpiga Iran?
Hapo hapo hao Korea na Japan wanalindwa na USA huko Asia Pacific dhidi ya China.
Kweli sikio linataka kuzidi kichwa.
China itaichukua Taiwan bila vita, bila kurusha risasi au bomu.
Taiwan itafanya unification na China na kuwa autonomous kama Hong Kong ilivyo na maisha yataendelea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.