Habari za muda huu Wana jamiiforum.
Aisee Kuna ishu ya dogo langu mmoja nashindwa kujua namsaidiaje huyu dogo alipata kazi serikalini mwezi December then akapeleka vyeti kwa ajili ya verification.
Sasa mwezi huo huo December alifanya usaili kwenye taasisi ya umma inayoajiri yenyewe kwenye...
Wakuu Kuna ishu hapa naomba muongozo wenu, kama mtu amepata kazi kwenye PDF ya utumishi na ameshaenda kuripoti anasubiri simu ya kuitwa kuanza kazi rasmi ghafla akapigiwa simu na taasisi ya serikali inayofanya mchakato wa ajira bila kupitia utumishi mfano TRA maana alifanya written na oral...
Habari za muda huu wakuu, mimi ni mhitimu wa shahada ya awali ya Bima na udhibiti viashiria hatarishi (Bachelor in insurance and risk management) 2022, kiukweli nashukuru sana tangu nimalize chuo sijawahi Kaa bila kazi nilipomaliza mwaka 2022 ni moja ya wanafunzi tuliofaulu vizuri na kuchukuliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.