Hii mbona ipo open kabsa... yaan barua ya utambulisho uliyoomba dhumuni lake hukuchagua maombi ya mkopo wa Elimu ya juu. Kwenye lengo la barua wakati unaomba unaletewa list uchague unaomba baarua ya utambulisho uitumie kwenye nn huenda ulichagua kipengele kingine pasipo kujua . Rudia kuomba...
What if asipopata mkopo hawez kusoma aachane na kusoma??? Wengine mazingira ya nyumban magum bora apate huo mkopo hata akiteseka kuurudisha 8la ashatimiza ndoto zake
Kiapo hakuna sehem ya kuattach wakati wa kuomba mkopo labda kama ataattach wakat wa Appeal ila kwenye maomb inatumika namba tu ambayo pia kwa changamoto yake inatambulik sio kubwa
Jana walikua na session Google meeting nadhan na leo watakuanacho kuanzia saa kumi tembelea page yao ya Instagram kupata link ya kuingilia kwenye kikao unlike wanamaelezo mazr na wanajib kila swali.. kwa jana kuna mtu aliuliza walisema haina shida labda kama jina ni tofauti jina zima ila tofaut...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.