Recent content by Nkobe

  1. Nkobe

    Serikali yapiga marufuku kutumia CCTV Camera bila usajili. Je, ni kuwalinda wasiojulikana?

    Ujinga huu, kila mtaa, kila kona kunahitajika CCTV Kamera kwa ajili ya usalama
  2. Nkobe

    DOGMA ndio msingi wa dini ya ukristo

    1. Wameaminishwa ukifa utakuta mabikra na mito ya pombe mbinguni wakati kule hakuna miili kama hii tuonayo 2. Wameaminishwa Mtume kuoa mtoto wa miaka 6 ni sawa wakati ule ni ubakaji 3. Wameaminishwa ukivaa bomu ukaua mwanadamu mwenzio unapewa mabikra na pombe, wakati ukweli ni jehanamu moja kwa moja
  3. Nkobe

    GE2025 Leo ndio uchaguzi mkuu wa Wabunge Tanzania

    Oktoba ni danganya toto, leo ndio Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa watapatikana. Mchakato ulianza kwa Muhimili mmoja wa Serikali (Samia, Mpango na wenzie) kupitisha majina wanayotaka wao ili kuunda muhimili wa pili wa serikali. Iko wazi kuwa sasa Watanzania hawana tena haki ya kuchagua kiongozi...
  4. Nkobe

    Mimi Raia wa kawaida najiuliza, kamati kuu ya CCM ndio inateua wagombea wa ubunge, lakini kamati hiyo hiyo ndio inatakiwa kuhojiwa na Bunge

    Kama kichwa cha habari kisemavyo, hata kama wewe una IQ ndogo utajiuliza. CCM ndio chama tawala tangu uhuru, bila shaka kwa namna wanavyowapiga rungu wapinzani, ni wazi kuwa wabunge walioteuliwa na watawala ndio watarudi bungeni kwa wingi. Moja ya kazi ya mbunge ni kuisimamia na kuihoji...
  5. Nkobe

    Wabunge walionyamazia vitendo vya utekaji na kushiriki kuuza bandari zetu wasirudi bungeni

    Kiongozi wao mkuu ndie anaeteua nani arudi Bungeni
  6. Nkobe

    Huu ni mwaka wa kumwaga oil chafu kwa utaratibu wa CCM

    Kwa mujibu wa Polepole. Ni utaratibu wa CCM. Mimi ni CCM, Rais wangu Mama Samia, miaka kumi imetosha, baada ya Nyerere hakuna aliekaa Ikulu zaidi ya miaka 10
  7. Nkobe

    Kama Israel ana nguvu kubwa kwanini US kaingia vitani?

    Kupata support ya Taifa kubwa kama US tayari inatokana nawe una nguvu. US sio fala, anajua Wayahudi wana akili
  8. Nkobe

    US kashambulia hewa Iran ilihamisha Kila kitu kwenye vinu vya nuclear vilivyopigwa

    Akili ndogo, unahamishaje mitambo mikubwa katikati ya vita? Mitambo ya nyuklia ni kijiko uhamishe kirahisi?
  9. Nkobe

    Israel kagusa mzizi, muda si mrefu mashariki ya kati itapata amani ya Muda mrefu, uenda kizazi chetu kisione tena machafuko

    Iko wazi kuwa Iran ndie sponsor mkubwa wa vikundi vya kupambana na Israel huko Mashariki ya kati, Iran ndie supplier mkubwa wa silaha kwa Hamas, Hezbollah na Houthi. Katika safari ya vita ya Israel, alianza kupambana na matawi kwanza (makundi ya kigaidi) kabla ya kuhamia kwenye sponsor wao...
  10. Nkobe

    Kwa nini China haijaisaidia Iran kwenye vita vyake na Israel?

    Population ya china ni bilioni, ukiwa na watu wengi hivi ukajiingiza kwenye ugonvi, la kutokea likatokea ni ngumu kuwa manage, ndio maana China yuko busy kutafuta maslahi ya watu wake. Mfano itokee tu hata vituo vya kuzalisha umeme, njia kuu za kusafirishaji zishambuliwe, hiyo pressure ya watu...
  11. Nkobe

    Naomba kuelezwa : Iran akimiliki Nuclear Israeli inamhusu nini?

    Ukiruhusu nchi inayo ongozwa na Waislam wenye itkadi kali wamiliki nyuklia ujue dunia sio salama. Huo utawala wa imani kali wa Iran waliapa kuondoa Israel kwenye ramani ya dunia, ndio maana haruhusiwi
Back
Top Bottom