1. Wameaminishwa ukifa utakuta mabikra na mito ya pombe mbinguni wakati kule hakuna miili kama hii tuonayo
2. Wameaminishwa Mtume kuoa mtoto wa miaka 6 ni sawa wakati ule ni ubakaji
3. Wameaminishwa ukivaa bomu ukaua mwanadamu mwenzio unapewa mabikra na pombe, wakati ukweli ni jehanamu moja kwa moja
Oktoba ni danganya toto, leo ndio Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa watapatikana. Mchakato ulianza kwa Muhimili mmoja wa Serikali (Samia, Mpango na wenzie) kupitisha majina wanayotaka wao ili kuunda muhimili wa pili wa serikali. Iko wazi kuwa sasa Watanzania hawana tena haki ya kuchagua kiongozi...
Kama kichwa cha habari kisemavyo, hata kama wewe una IQ ndogo utajiuliza. CCM ndio chama tawala tangu uhuru, bila shaka kwa namna wanavyowapiga rungu wapinzani, ni wazi kuwa wabunge walioteuliwa na watawala ndio watarudi bungeni kwa wingi. Moja ya kazi ya mbunge ni kuisimamia na kuihoji...
Kwa mujibu wa Polepole. Ni utaratibu wa CCM. Mimi ni CCM, Rais wangu Mama Samia, miaka kumi imetosha, baada ya Nyerere hakuna aliekaa Ikulu zaidi ya miaka 10
Iko wazi kuwa Iran ndie sponsor mkubwa wa vikundi vya kupambana na Israel huko Mashariki ya kati, Iran ndie supplier mkubwa wa silaha kwa Hamas, Hezbollah na Houthi.
Katika safari ya vita ya Israel, alianza kupambana na matawi kwanza (makundi ya kigaidi) kabla ya kuhamia kwenye sponsor wao...
Population ya china ni bilioni, ukiwa na watu wengi hivi ukajiingiza kwenye ugonvi, la kutokea likatokea ni ngumu kuwa manage, ndio maana China yuko busy kutafuta maslahi ya watu wake. Mfano itokee tu hata vituo vya kuzalisha umeme, njia kuu za kusafirishaji zishambuliwe, hiyo pressure ya watu...
Ukiruhusu nchi inayo ongozwa na Waislam wenye itkadi kali wamiliki nyuklia ujue dunia sio salama. Huo utawala wa imani kali wa Iran waliapa kuondoa Israel kwenye ramani ya dunia, ndio maana haruhusiwi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.