Mashariki ya kati, ambapo Yesu alitokea hakubaliki. Isreal ambapo ndipo alizaliwa na kufanya miujiza yale yote hakubaliki. Wayahudi wako na imani yao ambayo haimtambui Yesu. Wayahudi wanaamini Yesu alikuwepo lakini ana baba na mama kamili wa kidunia, Yesu kwa Wayahudi ni mtu wa kawaida maarufu...
1. Wameaminishwa ukifa utakuta mabikra na mito ya pombe mbinguni wakati kule hakuna miili kama hii tuonayo
2. Wameaminishwa Mtume kuoa mtoto wa miaka 6 ni sawa wakati ule ni ubakaji
3. Wameaminishwa ukivaa bomu ukaua mwanadamu mwenzio unapewa mabikra na pombe, wakati ukweli ni jehanamu moja kwa moja
Oktoba ni danganya toto, leo ndio Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa watapatikana. Mchakato ulianza kwa Muhimili mmoja wa Serikali (Samia, Mpango na wenzie) kupitisha majina wanayotaka wao ili kuunda muhimili wa pili wa serikali. Iko wazi kuwa sasa Watanzania hawana tena haki ya kuchagua kiongozi...
Kama kichwa cha habari kisemavyo, hata kama wewe una IQ ndogo utajiuliza. CCM ndio chama tawala tangu uhuru, bila shaka kwa namna wanavyowapiga rungu wapinzani, ni wazi kuwa wabunge walioteuliwa na watawala ndio watarudi bungeni kwa wingi. Moja ya kazi ya mbunge ni kuisimamia na kuihoji...
Kwa mujibu wa Polepole. Ni utaratibu wa CCM. Mimi ni CCM, Rais wangu Mama Samia, miaka kumi imetosha, baada ya Nyerere hakuna aliekaa Ikulu zaidi ya miaka 10
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.