Jibu lipo hapo hapo.
soma vizuri uelewe! Au ndio msomi wa magazeti ya michezo kujua gool Ni ngapi kwa ngapi
Pasipokujua yalifungwaje! OK sawa ngoja nirudi nyuma.
Nimesema kua, Hapo ukichunguza vizuri Qur aan utagundua kua iko sehemu mbili
1 Ni damu ambavyo! Tena ujue bila damu mwili wa...
Mi ngoja nirudi kwenye msingi wa Mada yenyewe
Mungu kafanya tone kua damu ilioganda( pande la damu)
Hapo anamzungumzia mwanamke ambae yuko katika kipindi cha Ovulation
Ambapo yai Allah ameliita pande la damu
Hapo ukumbukwe kua yai la binadamu sio sawa na yai la ndege
Yai hili la mwanamke wa...
Unapojiuliza nitawezaje kuishi na figo? Au kuna madhara gani kuishi figo moja
Jibu Ni hili Hakuna Shida yoyote kwani kuna watu walizaliwa na figo moja na wanaishi vizuritu.
Jambo la muhimu Ni kua makini ili hiyo figo moja isiharibike.
Kwani kua na figo zote sio muhimu, muhimu Ni figo zifanye...
OK sasa naona fumbuzi yako tumeipata kwa elezo hii ya mwisho. Sasa kesho nitakupatia fumbuzi ya tatizo hii.
Ngoja muda hii ipatie nafasi wengine kujibu swali mbili tatu.
Pole sana kabla ya kujibu naomba nikuulize,
Je hali hii imekuja ghafla au toka mwanzo ya kuanza mahusiano?
Je hua una tumia njia za kupanga uzazi kwa kutumia dawa zozote?
Naomba unijulishe hiyo ili tujue tatizo yako.
Habari ndugu pure nomaa
Am sory kwanza Naomba nikuulize kabla ya kuvaa hiyo kifaa kinga.
1 Je haukumshika shika uke yake kumuandaa mpenzi yako kabla ya sex?
2 Je wakati ukimshika shika sehemu ya uke ilikua ikitokatoka ile ute ute ya uke?
3 Ulikumbuka kukagua vidole au mikono yako...
Pole sana ndugu bachelor sugu.
Hali kama hiyo inaashiria sehemu Fulani ya ubongo inapoanzia shingo( chini kidogo ya usogo) sehemu hii huitwa brain stem.
Sehemu hii inapungukiwa mahitaji.
Sina uhakika kama RCT ingeweza kusababisha hilo, ila kwakua jino yenyewe ilikua ni ya juu iko wezekano hiyo...
Habari bwana best 1 boy
Kwakua umesema ulishawahi karabatiwa eneo hiyo, na kwakua ilipata tatizo hiyo ukiwa bado iko mdogo.
All and most nisemetu wakati kama hiyo bado maungo mbalimbali Inakua inaendelea kukua.
Inawezekana kwa bahati mbayatu ya ufundi inaweza kutokea kuibana space ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.