Kumbuka unapewa unacho toa. Mwarabu gani mstaarabu? Unyama wanaofanyia watu huko libya mbona hujaleta uzi kusema kukemee. Mwarabu Israel ndiyo kiboko yake. Waambie mtanyooka tuu. Tupige kura ya maoni uone wenye msimamo wako ni wangapi?
Hawa watoto wa mama mdogo wanajifanya wanasolidaruty lakini upuuzi tuu. Hatuendeshi nchi kwa mihemko. Mwarabu hajaki mweusi hata siku moja aweje agenda yetu? Tena magufuli peleka ubalozi qetu Jerusalemu mimi namshukuru Mungu kabla.
Rais alisema ya dar dodima ipo nani yetu lakini kufika kigoma itakopwa mbona mpo kama wanawake malaya mnataka kupotosha watu kila kitu jamani? Kwanini hamsomi alama za nyakati kuwa watu wamewagundua kuwa hamna jipya uzushi tuu
Wewe mtu anampango wa kumpindua rais aliyepo madarakani aliyechaguliwa unasema watu wanaminywa uliuliza watu wakakwambia hawamtaki rais aondoke madarakani ? Kwanini hamuoni mlipo potea katika jili sakata zima la maandamano? You were too ambitious kweli aondoke au tuwe na katiba mpya maana watu...
Hayo hayakuwa maandamano yalikuwa mapinduzi take it. Hakuna anayetaka rais aondoke madarakani kenya aliachwa wewe upo hai au umekufa juzi juzi tu watu wamelishwa shaba kenya au ulikuwa kwenye chupa. Acheni uchiriku
Sijui kama ujumbe ulikuwa unawakilishwa bila ya support ya watu na ikaonekana hiyo ni hali mutual kwa watanzania wote. Mtu anaweza kuwa hampendi rais akaamua kuandaa maandamano ya kuwasemea watu ambao wao hawakuonyesha kwa lolote kukubaliana na hilo. Mimi najua London kuna watz kibao siyo wale...
Huwezi kufurahiwa na wengi humu ndani maana hiyo ilikuwa kiki yao kuwa CNN and BBC watawatoa wa nje ya nchi wao wataandamana shame imeenda against their wish #lema#zitto huruma kweli
Kumbe huna hakika na unalopanga halafu unatuhamasisha maandamano. Chukua dawa ya panya kunywa ufe maana huna maisha ndiyo tatizo watoto wa tz baba yako hakukutunza nenda kwa makonda huna plans
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.